Ibara ya 36 inapaswa kumfunga Rais na kumpokonya mamlaka ya kuanzisha na kufuta nafasi za madaraka katika utumishi

Labda waziri mkuu yupo na terminal illness inayomfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake vizuri
Si unamstaafisha unamteua mwingine. Kwani lazima tukae na waziri mkuu milele hata kama hatumikii nafasi yake kutokana na ugonjwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…