Ibenge ameshachoka na Simu za mara kwa mara za Msomali Koko

Ibenge ameshachoka na Simu za mara kwa mara za Msomali Koko

Ibenge hana timu, ashukuru mchezo wa kwanza alikutana na Utopolo iliyokuwa imechoka ila sasa atapewa kipigo kitakatifu
 
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
sure,
ndivyo walivyo, na hiyo tabia yao haibadilikagi,

lalafu,
nilijua umeacha zile trip za masafa marefu za DRC gentleman, kumbe bado unazipiga hadi sasa?

vip barabara lakini saivi?🐒
 
Ibenge hana timu, ashukuru mchezo wa kwanza alikutana na Utopolo iliyokuwa imechoka ila sasa atapewa kipigo kitakatifu
Hahahaaa
1736576507433.jpg
 
Hakuna haja ya mazungumzo, yanga acheze mpira wake ashinde, na aje nyumbani awafunge waarabu mengine ni historia.
 
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
Makolo mnahangaika sana, kamahatuta pita hatufi Wala siyo mara ya kwanza kushinda kupita.
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    272.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom