Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy New Year to you, ila Popoma ni Mjomba wako.Popoma, Happy New Year my young brother. Kitambo sana.
Safari imeshamalizika.Kwa hiyo unatuambia nini?
Nilikuwa nawaza kuanza kukusanya michango ya rambirambi! Kumbe ulikuwa kwenye mafunzo ya kamati ya ufundi ili umpokee Matola!Happy New Year to you, ila Popoma ni Mjomba wako.
Haijaisha mpaka iishe!Safari imeshamalizika.
Akidaka ndio utamloga au? Kumbuka class is permanent but form is tempolary, Class ya diarra iko pale pale uwezi kumuhukumu kwenye mechi ambazo timu ilikuwa down yote usikariri maisha!Kwa hiyo Diarra hatadaka kesho?
Ndoto nyevuEti nimeota yanga kashinda mbili. Ndoto mbaya hii
sure,Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.
Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.
Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
HahahaaaIbenge hana timu, ashukuru mchezo wa kwanza alikutana na Utopolo iliyokuwa imechoka ila sasa atapewa kipigo kitakatifu
Tunza kapuni 🤣Naitunza hii
Usijal bwashee🤣🤣Tunza kapuni 🤣
HaswaHakuna haja ya mazungumzo, yanga acheze mpira wake ashinde, na aje nyumbani awafunge waarabu mengine ni historia.
Ebanaeeeee GSM alijisahau angemdhani mapema 🤣🤣🤣🤣Muamala unaligwa..na kipigo kipo pale pale
Makolo mnahangaika sana, kamahatuta pita hatufi Wala siyo mara ya kwanza kushinda kupita.Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.
Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.
Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
Lakini hili chupa si linavuja mzee sasa chai imefikaje mpaka asubuh .Chupa limeamka na chai