Ibenge hawezi kuiachia Yanga kirahisi rahisi

M
Madunduka,nani kawaambia yanga anataka alegezewe?
 
Sawa
 
Alikwambia nani Yanga inataka kulegezewa?
AKILI ZA WATANZANIA KAMA HUYU NIZAKIPUMBAVU SANA, AKILI ZA USIMBA NA UYANGA WANAZIHAMISHIA NJE YA MPIRA WA TANZANIA, MFANO YANGA HATA IKAENDA UJERUMANI KWA AKILI ZAO ZA KIPUMBAVU WANAWEZA KUSEMA WATALEGEZEWA HIVYO HIVYO. NI UJINGA SANA
 
Wakaze viuno tu,Al Hilal wala hana maajabu kihivyo,ni ngekewa tu.
 
Unajua Yanga anaweza akalegezewa ila asiweze kushinda, Yanga ni mbovu jamani hamuelewi somo.
GENTAMYCINE, dunduka mwenzio huyu hapa.

Narudia;

1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo
Yanga ni mbovu jamani hamuelewi somo

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
etc..

Ulichokiandika ni maandalizi tu ya kuendeleza umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
 
Akitokea Rage, akakuambia wewe ni mbumbumbu! Hivi utanuna kweli, kutokana na hiki ulichokiandika hapa!!
 
Ni kweli umesema na zaidi ya hapo kama ulikuwa hujui ibenge ni mwanachama wa simba kwa kadi
 
Ogopa hii kitu
 

Attachments

  • Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    272.4 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…