Zielezee vizuri hizo Mkuu maana kuna watakaokupinga hata kuvua na nguo kabisa na kubakia UCHI sababu wanakupinga emu watoe tongotongoDunia Ina stage 3 ndugu... Public Life, Private life na Secret life..IPE AKILI KAZI
Mbona umeweza kidogo sana Ndugu yangu!!..Ulimwengu umekuwepo na sheria zake Ili na sisi tuwe sehemu yake, Akili na utashi hukupewa Ili upokeee mapokeo ukipewa Ili uvitumie, kufanya reasoning za mambo....what you can't argue with ni zile natural laws pekeeIvi wewe ukitengeneza gari inaweza jipangia Cha kufanya.....?
Inategemea umeiwekea mfumo gani hujui kuna Gari inamtambua mwenye Gari akifika tu mlango unafunguka anaingia ndani inamuuliza tunaenda Wapi boss anaiambia tu leo tunaenda mbinguni Gari hio inaongoza njia au haujui?Ivi wewe ukitengeneza gari inaweza jipangia Cha kufanya.....?
OwongoNiwasalimu ndugu zangu!
Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.
Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)
Tunaishi hapa ulimwenguni kwa sababu maalumu,pia hatutaendelea kuishi Katika ulimwengu huu na Mwili huu maana sababu za kuendelea kuwa na Mwili huu wa nyama zitakuwa zimeisha(Ukipata wazo lifanyie kazi Leo kesho ni hadithi)
Dunia inaongozwa na watu wenye akili kubwa,hurithisha vizazi vyao vyenye akili kubwa pia, Ili kuendelea kupata sifa na faraja ya muda mfupi, afadhari kuwa na faraja hapa kuliko kusubili faraja ya kesho ambayo ni jambo la kufikilika (itumie akili Yako kama MTU mwenye akili,Dunia Haina fear na mjinga)
Muda na sababu ndiyo msingi wa wewe na Mimi kuwepo kwa wakati huu Katika frecuency hii ya Mwili unaoshikika, mwanadamu ni cel, mwanadamu ni mawimbi, mwanadamu ni nguvu, mwanadamu ni Mungu (hakuna MTU mwenye mwili asiye na uungu ndani yake, uungu ni nguvu ya kufanya)
Time/Muda ni nini? Muda unakosa maana kama hakuna sababu, sababu ndiyo msingi wa muda, sababu ni maulizo na majawabu ya maulizo, mfano! Nani alisema iwe jumatatu,jumanne ,nani alisema Ili iwe saa moja ni lazima ziwe dk 60?. Concepts za watu zikikosa mbadala zilizopo zinapata makao ya kudumu moyoni na akilini. (Vitabu vya Dini siyo vitabu vya historia halisi ya matukio ya ulimwengu, vyenyewe ni fasihi za kutungwa)
Usiwaze kuhusu mbingu (heaven )na kuzimu, (hell) hizo zote ni story za kutishana tu. Waza kuhusu uwezo wako wa kuwa na furaha,kuwafanya wengine wawe na furaha, zaidi kufanya viumbe wengine waishi kwa uhuru kwa kadri ya sheria ya Asili. (Hapa tulipo tunaletwa kwa kazi maalumu, kama unaota au unaona maono yazingatie)
Viungo vyako vikiacha kushirikiana kwa sababu yoyote Ile, viungo vyote vinarudi ardhini kuendeleza rutuba, Ili vizazi vingine viendelee kuishi, kwa hiyo hata KIFO chenyewe ni concept ya MTU.. haiwezekani wewe ubebe DNA (kumbukumbu)ya baba Yako na mama Yako then uje useme ni KIFO, people are still living ndani Yako. So..if we're created by God, which I blv ... lazima Ako ndani yetu...(Don't be fooled by books, where's your mind)
NIMALIZE kwa udogo!! Ulimwengu Unapata maana kama vitu vinaenda kinyume. Juu ipo chini, kulia ipo kushoto. Moto ipo baridi... Dunia ibishie Lakini siyo ulimwengu
*Hakuna mfano nyuma ya mfano, nyama ya mfano Kuna Imani)
IPE KAZI AKILI
Ulimwengu ni ombwe tupu linalotanuka kila SIKU mfano wa puto ambalo ndani yake kuna sayari zoteNiwasalimu ndugu zangu!
Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.
Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)
Tunaishi hapa ulimwenguni kwa sababu maalumu,pia hatutaendelea kuishi Katika ulimwengu huu na Mwili huu maana sababu za kuendelea kuwa na Mwili huu wa nyama zitakuwa zimeisha(Ukipata wazo lifanyie kazi Leo kesho ni hadithi)
Dunia inaongozwa na watu wenye akili kubwa,hurithisha vizazi vyao vyenye akili kubwa pia, Ili kuendelea kupata sifa na faraja ya muda mfupi, afadhari kuwa na faraja hapa kuliko kusubili faraja ya kesho ambayo ni jambo la kufikilika (itumie akili Yako kama MTU mwenye akili,Dunia Haina fear na mjinga)
Muda na sababu ndiyo msingi wa wewe na Mimi kuwepo kwa wakati huu Katika frecuency hii ya Mwili unaoshikika, mwanadamu ni cel, mwanadamu ni mawimbi, mwanadamu ni nguvu, mwanadamu ni Mungu (hakuna MTU mwenye mwili asiye na uungu ndani yake, uungu ni nguvu ya kufanya)
Time/Muda ni nini? Muda unakosa maana kama hakuna sababu, sababu ndiyo msingi wa muda, sababu ni maulizo na majawabu ya maulizo, mfano! Nani alisema iwe jumatatu,jumanne ,nani alisema Ili iwe saa moja ni lazima ziwe dk 60?. Concepts za watu zikikosa mbadala zilizopo zinapata makao ya kudumu moyoni na akilini. (Vitabu vya Dini siyo vitabu vya historia halisi ya matukio ya ulimwengu, vyenyewe ni fasihi za kutungwa)
Usiwaze kuhusu mbingu (heaven )na kuzimu, (hell) hizo zote ni story za kutishana tu. Waza kuhusu uwezo wako wa kuwa na furaha,kuwafanya wengine wawe na furaha, zaidi kufanya viumbe wengine waishi kwa uhuru kwa kadri ya sheria ya Asili. (Hapa tulipo tunaletwa kwa kazi maalumu, kama unaota au unaona maono yazingatie)
Viungo vyako vikiacha kushirikiana kwa sababu yoyote Ile, viungo vyote vinarudi ardhini kuendeleza rutuba, Ili vizazi vingine viendelee kuishi, kwa hiyo hata KIFO chenyewe ni concept ya MTU.. haiwezekani wewe ubebe DNA (kumbukumbu)ya baba Yako na mama Yako then uje useme ni KIFO, people are still living ndani Yako. So..if we're created by God, which I blv ... lazima Ako ndani yetu...(Don't be fooled by books, where's your mind)
NIMALIZE kwa udogo!! Ulimwengu Unapata maana kama vitu vinaenda kinyume. Juu ipo chini, kulia ipo kushoto. Moto ipo baridi... Dunia ibishie Lakini siyo ulimwengu
*Hakuna mfano nyuma ya mfano, nyama ya mfano Kuna Imani)
IPE KAZI AKILI
Ni ngumu sana kubadilisha fasihi uliyozaliwa unajikuta umo tu kwa zaidi ya miaka 500..Taratibu wataelewa,hasa tukisemezana kwa upendoNgoja walokole waje na Bible zao hapa kukupinga na wale wavaa Kobaz wanaosema Yesu sio Mungu, watakwambia utapigwa Mawe ufe sababu umekufuru
Ongeza nyama Mkuu bado hujaeleza vizuriUlimwengu ni ombwe tupu linalotanuka kila SIKU mfano wa puto ambalo ndani yake kuna sayari zote
Sio Mchezo na Shetani ni Mungu?Ni ngumu sana kubadilisha fasihi uliyozaliwa unajikuta umo tu kwa zaidi ya miaka 500..Taratibu wataelewa,hasa tukisemezana kwa upendo
Noma sanaNiwasalimu ndugu zangu!
Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.
Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)
Tunaishi hapa ulimwenguni kwa sababu maalumu,pia hatutaendelea kuishi Katika ulimwengu huu na Mwili huu maana sababu za kuendelea kuwa na Mwili huu wa nyama zitakuwa zimeisha(Ukipata wazo lifanyie kazi Leo kesho ni hadithi)
Dunia inaongozwa na watu wenye akili kubwa,hurithisha vizazi vyao vyenye akili kubwa pia, Ili kuendelea kupata sifa na faraja ya muda mfupi, afadhari kuwa na faraja hapa kuliko kusubili faraja ya kesho ambayo ni jambo la kufikilika (itumie akili Yako kama MTU mwenye akili,Dunia Haina fear na mjinga)
Muda na sababu ndiyo msingi wa wewe na Mimi kuwepo kwa wakati huu Katika frecuency hii ya Mwili unaoshikika, mwanadamu ni cel, mwanadamu ni mawimbi, mwanadamu ni nguvu, mwanadamu ni Mungu (hakuna MTU mwenye mwili asiye na uungu ndani yake, uungu ni nguvu ya kufanya)
Time/Muda ni nini? Muda unakosa maana kama hakuna sababu, sababu ndiyo msingi wa muda, sababu ni maulizo na majawabu ya maulizo, mfano! Nani alisema iwe jumatatu,jumanne ,nani alisema Ili iwe saa moja ni lazima ziwe dk 60?. Concepts za watu zikikosa mbadala zilizopo zinapata makao ya kudumu moyoni na akilini. (Vitabu vya Dini siyo vitabu vya historia halisi ya matukio ya ulimwengu, vyenyewe ni fasihi za kutungwa)
Usiwaze kuhusu mbingu (heaven )na kuzimu, (hell) hizo zote ni story za kutishana tu. Waza kuhusu uwezo wako wa kuwa na furaha,kuwafanya wengine wawe na furaha, zaidi kufanya viumbe wengine waishi kwa uhuru kwa kadri ya sheria ya Asili. (Hapa tulipo tunaletwa kwa kazi maalumu, kama unaota au unaona maono yazingatie)
Viungo vyako vikiacha kushirikiana kwa sababu yoyote Ile, viungo vyote vinarudi ardhini kuendeleza rutuba, Ili vizazi vingine viendelee kuishi, kwa hiyo hata KIFO chenyewe ni concept ya MTU.. haiwezekani wewe ubebe DNA (kumbukumbu)ya baba Yako na mama Yako then uje useme ni KIFO, people are still living ndani Yako. So..if we're created by God, which I blv ... lazima Ako ndani yetu...(Don't be fooled by books, where's your mind)
NIMALIZE kwa udogo!! Ulimwengu Unapata maana kama vitu vinaenda kinyume. Juu ipo chini, kulia ipo kushoto. Moto ipo baridi... Dunia ibishie Lakini siyo ulimwengu
*Hakuna mfano nyuma ya mfano, nyama ya mfano Kuna Imani)
IPE KAZI AKILI
I appreciate......"akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo"........ whether you accept or reject the truth is your purpose comes from GOD.....Hata hizo natural law unazosema kwamba you cannot go against, yesu alizivunja Kwa kutembea juu maji........Mbona umeweza kidogo sana Ndugu yangu!!..Ulimwengu umekuwepo na sheria zake Ili na sisi tuwe sehemu yake, Akili na utashi hukupewa Ili upokeee mapokeo ukipewa Ili uvitumie, kufanya reasoning za mambo....what you can't argue with ni zile natural laws pekee
Kwa hio Shetani hajawahi kuwepo tangu Dunia iumbwe?Hakuna kiumbe kinaitwa shetani..ni mtazamo tu
πππππ.....afadhali umejibu vyema, gari imemtii aliyetengeneza mfumoπInategemea umeiwekea mfumo gani hujui kuna Gari inamtambua mwenye Gari akifika tu mlango unafunguka anaingia ndani inamuuliza tunaenda Wapi boss anaiambia tu leo tunaenda mbinguni Gari hio inaongoza njia au haujui?
Sasa hapo wewe ndiyo umejenga hoja gani?Morning Ndugu!!! Kafanye tafiti then njoo ujenge hoja...
Unaweza kuniambia kwanini Petro alipoingia ndani ya maji alianza kwa kutembea juu ya Maji alipoona wimbi kubwa linakuja akamwita Yesu "Bwana nazama" na akazama kweli, kwanini?I appreciate......"akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo"........ whether you accept or reject the truth is your purpose comes from GOD.....Hata hizo natural law unazosema kwamba you cannot go against, yesu alizivunja Kwa kutembea juu maji........
17 Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako.Kwa hio Shetani hajawahi kuwepo tangu Dunia iumbwe?
Hata namba zinaweza kua zimetoka kwa waongo mbona,maana we mwenyewe unasoma mahala ndo unakuja kuleta namba,we mwenyewe hukuwepo pia,yamkini ungesema huamini yote na hauna hakika ya mambo yote maana we mwenyewe unajifikirisha,ila kutupa uhakika huwezi,unaleta uhakika kwa kujaribu kusoma soma vitabu ama ku google,vitu ambavyo vilitokana na binadamu hawa hawa ambao na wao kwa miaka mingi yamkini walidanganya,so ni afadhari kupiga kimya maana mambo ya imani yanaweza kua na kitu nyuma ya pazia tusicho kijua,kwa hivyo mtu kujifanya anajua na amezaliwa majuzi tu hapa ni kujidanganyaSasa hapo wewe ndiyo umejenga hoja gani?
Nakwambia hivi, umeandika uongo na ujinga.
Dunia ilikuwepo kabla ya hao unaowaita wanadamu.
Nimekuwekea mpaka miaka ya dunia na ya hao unaowaita wanadamu, nimefanya utafiti ndiyo maana nikaweka namba.
Wewe umeandika mambo kijingajinga tu.
Ukibisha, weka hoja kwa namba hapa, umri wa dunia na umri wa hao unaowaita wanadamu.
Tulinganishe namba zako na nilizoweka mimi.
Hii siku njema sana itatupandisha sote humu!!! Natural laws hazibishaniwi na yoyote asiye mhafidhina(Hilo andiko unalolijengea hoja kalifanyie tafiti, liliandikwa na nani, lini, wapi then come with it)I appreciate......"akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo"........ whether you accept or reject the truth is your purpose comes from GOD.....Hata hizo natural law unazosema kwamba you cannot go against, yesu alizivunja Kwa kutembea juu maji........
Ongeza Luka 10:1917 Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako.
Luka 10:17
18 Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.
Luka 10:18