Ibrahim Ajibu Migomba aibukia TP Mazembe

Kumbe unataka nijibu unavyowaza wewe?... Dewji ni timu gani?
Samatta alicheza dewji au simba?..
Kumbe unajua samatta anawika eeh!.. hakutoka yanga yule
Punguza mdomo nikuelewe
 

Weka biashara hapo kwenye kamati ya ulinzi
 
Kumbe unataka nijibu unavyowaza wewe?... Dewji ni timu gani?
Samatta alicheza dewji au simba?..
Kumbe unajua samatta anawika eeh!.. hakutoka yanga yule
Punguza mdomo nikuelewe
Vipi Nonda na Samatta nani zaidi?
 
Kwa Mara ya kwanza nimependa comments zako leo. Huo Ndio uanamichezo sio mambo ya uyanga na usimba.
 
Write your reply...
hichi ndo tulikuwa tunakitaka safi
hakuna kuangalia ishu ya hela wew peleka wachezaji nje for the sake of national team!

sio lazima kila mtu aelewe kuhusu hili
 
Kwa kulalamika watanzania tumebarikiwa sana,unawezaje kumlalamikia Zahera kuhusu Ajibu kwenda TP Mazembe?,soka ni ajira kwa sasa siyo miaka ile ya kina Zamoyoni Mongela watu walikuwa wanacheza soka la kujifurahisha leo mnataka tuendelee na hizo enzi za ujima?,mwacheni Ajibu akatafute maisha acheni wivu wa kijingaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…