Ibrahim Ajibu Migomba aibukia TP Mazembe

Ibrahim Ajibu Migomba aibukia TP Mazembe

Acha kabisa ndugu yangu ila yanakwenda kuisha sasa kwani kikubwa kilikuwa kupata uongozi na kwakuwa wumeshapatikana nadhani mambo mazuri yanakuja.
Sawa hivi ndugu unafikiri kwa yanga ni uongozi pekee au kuna kingne cha ziada kinacho pelekea kufika hapo ilipo
 
Kwangu nakiona hicho kwani kilifanya hata wenye hela zao kushindwa kuwekeza kwa kukosa uongozi. Kwako unadhani kitu gani kilichofanya kufikia hapo?
Ulivyo eleza ndugu ni sahihi ila wanatakiwa kuboresha baadhi ya mambo ya kiutendaji na mwingiliano wa kimadaraka
 
Kumbe ilimsajiri yule? Si alipelekwa na Mo baada ya kuiuza Lyon Sports! Sasa ili kuhakikisha kipaji cha Mbwana kinaendelea kufanya kazi, ndo akampeleka Simba!
Kumbe Lyon ndio wamemuuza kwa TP MAZEMBE.?.. Leo ndio nakubali kweli shetani ni mwafrika.
 
Yah! Na hicho ndio tunakitaka japo kwa hali iliyopo sasa maboresho yake ni ya muda mrefu kidogo ili timu ipate kukaa sawa.
Ni kweli kabisa

Ila timu zetu zingekuwa na under 19 zingekuwa hazipati shida sana

Zinatakiwa ziwe na academ kwaajili ya kukuza vipaji na kuwapandisha juu kwaajili ya kulinda timu isiteteleke pale wachezaji maslah wanapo ondoka
 
Back
Top Bottom