Ibrahim Class 'Mawe' na mabondia wengine wa Tanzania wanatakiwa kujifunza baada ya tukio alilolifanya Ibrahim

Ibrahim Class 'Mawe' na mabondia wengine wa Tanzania wanatakiwa kujifunza baada ya tukio alilolifanya Ibrahim

Upo sahihi 100% hata mimi kijiweni tumelizungumza sana. Ibra na kambi yake hawakufanya fea. Ona yule mhindi alivyomtandika ndugu yetu jamaa alivyoona anaanguka hakumfuata akaweka mikono nyuma akatulia kabisa. Na hata mwisho alishangilia kishkaji sana kwa kunyanyua bendera ya India akatoka ulingoni.
kabisa ile ya muhind ilikuwa fair ndan ya game
 
Kulikuwa hakuna ulazima wa ile ngumi ilihali jamaa alikuwa anaenda chini mwenyewe.. Ibra amekosea sana, mtu anakufa kimasikhara hivi hivi
 
Kuhusu ngumi ya mwisho Ibra hana kosa maana bondia alikuwa bado hajadondoka ilikuwa ni jukumu la refa kuingillia kati na kumaliza pambano.Ibra amekosa utu pale tu alipokuwa anashangilia kwa nguvu wakati mwenzake anapambania uhai pale chini. Nadhani pale,alipaswa hata kwenda kutoa msaada.
 
Boxer ni mchezo ambao unahitaji umpelekee mashambulizi mwenzako ili wewe ushinde. Lakini pamoja na mashambulizi hayo, yupo refa na Masecond ambao wote kazi yao ni kuwalinda mabondia ndani ya uwanja.

Lakini ni kazi ya bondia pia yeye mwenyewe kujilinda. Lakini la ziada kabisa ambalo mabondia nadhani wengi hawalijui ni kumlinda pia mpinzani wako pale inapofikia hatua ya hatari kama hatua ya kumuona jamaa anaelekea kupoteza fahamu au kufa.

Tarehe 16 mwezi wa kwanza Mwaka 1999 Mike Tyson alipigana na Francois Botha na akampiga Botha akadondoka vibaya sana, lakini Tyson hakushangilia. Alichokifanya alishirikiana na refa kumnyanyua Botha ili asianguke tena.

Huo unaitwa ubinadamu ndani ya mchezo, ule ni mchezo na sio vita.

Alichokifanya Ibrahim Classic kwa mpinzani wake Allan Pinna sio kitendo cha kiungwana kabisa, na sijapenda maana Pinna alikuwa keshalewa anaenda chini mwenyewe Ibrahim Classic alikuwa na haja gani ya kutumia nguvu za ziada kumpeleka chini haraka?

Lakini leo hii watu wapo kimya kwa vile labda Ibrahim Classic ni bondia wetu kampiga bondia wa kigeni. Imagine kama pinna ndiyo angempiga jamaa hivyo.

Leo hii watu wengi wangemtukana sana Pinna, tungekilaani kile kitendo kwa nguvu zote.

Pinna jana katoka salama ndani ya uwanja hilo ni jambo la kushukuru, ila kama Pinna atakuja kufa kutokana na athari zilizotokana na lile pambano nadhani Ibrahim Classic hawezi kukaa kwa amani kamwe katika maisha yake.

Mabondia wanatakiwa wapewe elimu ya kujilinda, kuwalinda wapinzani wao na utu na ubinadamu ndani ya ulingo.
Nilidhani mimi peke yangu nililiona hili. Baada ya ngumi ya kwanza jamaa alipoteza fahamu na alikuwa akielekea kudondoka chini, sioni sababu ni kwa nini Ibrahimu aliendelea kumshambulia. Hii ilisikitisha sana
 
Kuhusu ngumi ya mwisho Ibra hana kosa maana bondia alikuwa bado hajadondoka ilikuwa ni jukumu la refa kuingillia kati na kumaliza pambano.Ibra amekosa utu pale tu alipokuwa anashangilia kwa nguvu wakati mwenzake anapambania uhai pale chini. Nadhani pale,alipaswa hata kwenda kutoa msaada.
kwahy mabondia wetu wanaitaj elimu ya utu lakni ibra nadhan aliona mkimbio wa referee kuzuia fighting ila alimuwah akaend kurush ngumi
 
Nilidhani mimi peke yangu nililiona hili. Baada ya ngumi ya kwanza jamaa alipoteza fahamu na alikuwa akielekea kudondoka chini, sioni sababu ni kwa nini Ibrahimu aliendelea kumshambulia. Hii ilisikitisha sana
mabondia na wanamichezo wote wanahitaj somo la utu
 
Nilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.

Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini

Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.

Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Tukisema CCM kumejaa Mazuzu mnabisha. Sasa huyu utamweka kundi gani?
 
Mabondia wote Wana Akili timamu, Mimi nawashauri Mabondia wote nchini, kama refa hajaingilia kati Wala Kona ya mpinzani wako haijarusha taulo. Usije ukafanya kosa la kujifanya msamaria mwema ulingoni, utakuja kujuta.
Tandika mbaka mchezo usimamishwe, Aya mambo ya mitandaoni ya acheni uku mitandaoni, mtakuja kunishukuru.
 
Nilidhani mimi peke yangu nililiona hili. Baada ya ngumi ya kwanza jamaa alipoteza fahamu na alikuwa akielekea kudondoka chini, sioni sababu ni kwa nini Ibrahimu aliendelea kumshambulia. Hii ilisikitisha sana
Ibrahim asubirie karma na yeye (in mayala voice
 
Boxer ni mchezo ambao unahitaji umpelekee mashambulizi mwenzako ili wewe ushinde. Lakini pamoja na mashambulizi hayo, yupo refa na Masecond ambao wote kazi yao ni kuwalinda mabondia ndani ya uwanja.

Lakini ni kazi ya bondia pia yeye mwenyewe kujilinda. Lakini la ziada kabisa ambalo mabondia nadhani wengi hawalijui ni kumlinda pia mpinzani wako pale inapofikia hatua ya hatari kama hatua ya kumuona jamaa anaelekea kupoteza fahamu au kufa.

Tarehe 16 mwezi wa kwanza Mwaka 1999 Mike Tyson alipigana na Francois Botha na akampiga Botha akadondoka vibaya sana, lakini Tyson hakushangilia. Alichokifanya alishirikiana na refa kumnyanyua Botha ili asianguke tena.

Huo unaitwa ubinadamu ndani ya mchezo, ule ni mchezo na sio vita.

Alichokifanya Ibrahim Classic kwa mpinzani wake Allan Pinna sio kitendo cha kiungwana kabisa, na sijapenda maana Pinna alikuwa keshalewa anaenda chini mwenyewe Ibrahim Classic alikuwa na haja gani ya kutumia nguvu za ziada kumpeleka chini haraka?

Lakini leo hii watu wapo kimya kwa vile labda Ibrahim Classic ni bondia wetu kampiga bondia wa kigeni. Imagine kama pinna ndiyo angempiga jamaa hivyo.

Leo hii watu wengi wangemtukana sana Pinna, tungekilaani kile kitendo kwa nguvu zote.

Pinna jana katoka salama ndani ya uwanja hilo ni jambo la kushukuru, ila kama Pinna atakuja kufa kutokana na athari zilizotokana na lile pambano nadhani Ibrahim Classic hawezi kukaa kwa amani kamwe katika maisha yake.

Mabondia wanatakiwa wapewe elimu ya kujilinda, kuwalinda wapinzani wao na utu na ubinadamu ndani ya ulingo.
Watanzania wengi wamelaani lile tukio pia na kumsifia yule refa mwanamke.
 
Tanzania kwa ujumla hatujui thamani ya utu.
Vinginevyo Ndugai asingemfanyia Lissu ukatili na watu walikaa kimya kama hakuna kilichotokea.

Hapohapo kuna wabunge hawana chama wanakula good time.

Chunguza vizuri utajua tu hatuna utu
Yaani ulishakuwa muathirika wa siasa mavi za bongo Kila Mahalia ni siasa tu
 
Nilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.

Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini

Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.

Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Alifanya kitendo ambacho si cha kiuungwana hata kidogo . Na akawa anashangilia kama kichaa
 
Nilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.

Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini

Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.

Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Alifanya kitendo ambacho si cha kiuungwana hata kidogo . Na akawa anashangilia kama kichaah
 
Nilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.

Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini

Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.

Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Kuna mtu huko Chadema kakutundika mimba kisha kakutolea nje mpuuzi mmoja wewe
 
Back
Top Bottom