Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Na chama alivyomkanyaga Feisal kwa dharau..mungu si dejan angalia Feitoto alipokwasasa..Weusi wengi Huwa hawana utimamu wa Akili. Angalia Morison alivyomkanyaga yule jamaa wa Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na chama alivyomkanyaga Feisal kwa dharau..mungu si dejan angalia Feitoto alipokwasasa..Weusi wengi Huwa hawana utimamu wa Akili. Angalia Morison alivyomkanyaga yule jamaa wa Azam
kabisa ile ya muhind ilikuwa fair ndan ya gameUpo sahihi 100% hata mimi kijiweni tumelizungumza sana. Ibra na kambi yake hawakufanya fea. Ona yule mhindi alivyomtandika ndugu yetu jamaa alivyoona anaanguka hakumfuata akaweka mikono nyuma akatulia kabisa. Na hata mwisho alishangilia kishkaji sana kwa kunyanyua bendera ya India akatoka ulingoni.
kiufup watu weng hawan elimu ya utuNa chama alivyomkanyaga Feisal kwa dharau..mungu si dejan angalia Feitoto alipokwasasa..
Kabisa mkuu, hata Inonga alivomkanyaga Sure BoyWeusi wengi Huwa hawana utimamu wa Akili. Angalia Morison alivyomkanyaga yule jamaa wa Azam
Nilidhani mimi peke yangu nililiona hili. Baada ya ngumi ya kwanza jamaa alipoteza fahamu na alikuwa akielekea kudondoka chini, sioni sababu ni kwa nini Ibrahimu aliendelea kumshambulia. Hii ilisikitisha sanaBoxer ni mchezo ambao unahitaji umpelekee mashambulizi mwenzako ili wewe ushinde. Lakini pamoja na mashambulizi hayo, yupo refa na Masecond ambao wote kazi yao ni kuwalinda mabondia ndani ya uwanja.
Lakini ni kazi ya bondia pia yeye mwenyewe kujilinda. Lakini la ziada kabisa ambalo mabondia nadhani wengi hawalijui ni kumlinda pia mpinzani wako pale inapofikia hatua ya hatari kama hatua ya kumuona jamaa anaelekea kupoteza fahamu au kufa.
Tarehe 16 mwezi wa kwanza Mwaka 1999 Mike Tyson alipigana na Francois Botha na akampiga Botha akadondoka vibaya sana, lakini Tyson hakushangilia. Alichokifanya alishirikiana na refa kumnyanyua Botha ili asianguke tena.
Huo unaitwa ubinadamu ndani ya mchezo, ule ni mchezo na sio vita.
Alichokifanya Ibrahim Classic kwa mpinzani wake Allan Pinna sio kitendo cha kiungwana kabisa, na sijapenda maana Pinna alikuwa keshalewa anaenda chini mwenyewe Ibrahim Classic alikuwa na haja gani ya kutumia nguvu za ziada kumpeleka chini haraka?
Lakini leo hii watu wapo kimya kwa vile labda Ibrahim Classic ni bondia wetu kampiga bondia wa kigeni. Imagine kama pinna ndiyo angempiga jamaa hivyo.
Leo hii watu wengi wangemtukana sana Pinna, tungekilaani kile kitendo kwa nguvu zote.
Pinna jana katoka salama ndani ya uwanja hilo ni jambo la kushukuru, ila kama Pinna atakuja kufa kutokana na athari zilizotokana na lile pambano nadhani Ibrahim Classic hawezi kukaa kwa amani kamwe katika maisha yake.
Mabondia wanatakiwa wapewe elimu ya kujilinda, kuwalinda wapinzani wao na utu na ubinadamu ndani ya ulingo.
kwahy mabondia wetu wanaitaj elimu ya utu lakni ibra nadhan aliona mkimbio wa referee kuzuia fighting ila alimuwah akaend kurush ngumiKuhusu ngumi ya mwisho Ibra hana kosa maana bondia alikuwa bado hajadondoka ilikuwa ni jukumu la refa kuingillia kati na kumaliza pambano.Ibra amekosa utu pale tu alipokuwa anashangilia kwa nguvu wakati mwenzake anapambania uhai pale chini. Nadhani pale,alipaswa hata kwenda kutoa msaada.
mabondia na wanamichezo wote wanahitaj somo la utuNilidhani mimi peke yangu nililiona hili. Baada ya ngumi ya kwanza jamaa alipoteza fahamu na alikuwa akielekea kudondoka chini, sioni sababu ni kwa nini Ibrahimu aliendelea kumshambulia. Hii ilisikitisha sana
Na chama alivyomkanyaga Feisal kwa dharau..mungu si dejan angalia Feitoto alipokwasasa..
So mkuu Feisal unamlinganisha na Chama au una matatizo ya Akili?Na chama alivyomkanyaga Feisal kwa dharau..mungu si dejan angalia Feitoto alipokwasasa..
Tukisema CCM kumejaa Mazuzu mnabisha. Sasa huyu utamweka kundi gani?Nilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.
Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini
Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.
Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Ibrahim asubirie karma na yeye (in mayala voiceNilidhani mimi peke yangu nililiona hili. Baada ya ngumi ya kwanza jamaa alipoteza fahamu na alikuwa akielekea kudondoka chini, sioni sababu ni kwa nini Ibrahimu aliendelea kumshambulia. Hii ilisikitisha sana
Watanzania wengi wamelaani lile tukio pia na kumsifia yule refa mwanamke.Boxer ni mchezo ambao unahitaji umpelekee mashambulizi mwenzako ili wewe ushinde. Lakini pamoja na mashambulizi hayo, yupo refa na Masecond ambao wote kazi yao ni kuwalinda mabondia ndani ya uwanja.
Lakini ni kazi ya bondia pia yeye mwenyewe kujilinda. Lakini la ziada kabisa ambalo mabondia nadhani wengi hawalijui ni kumlinda pia mpinzani wako pale inapofikia hatua ya hatari kama hatua ya kumuona jamaa anaelekea kupoteza fahamu au kufa.
Tarehe 16 mwezi wa kwanza Mwaka 1999 Mike Tyson alipigana na Francois Botha na akampiga Botha akadondoka vibaya sana, lakini Tyson hakushangilia. Alichokifanya alishirikiana na refa kumnyanyua Botha ili asianguke tena.
Huo unaitwa ubinadamu ndani ya mchezo, ule ni mchezo na sio vita.
Alichokifanya Ibrahim Classic kwa mpinzani wake Allan Pinna sio kitendo cha kiungwana kabisa, na sijapenda maana Pinna alikuwa keshalewa anaenda chini mwenyewe Ibrahim Classic alikuwa na haja gani ya kutumia nguvu za ziada kumpeleka chini haraka?
Lakini leo hii watu wapo kimya kwa vile labda Ibrahim Classic ni bondia wetu kampiga bondia wa kigeni. Imagine kama pinna ndiyo angempiga jamaa hivyo.
Leo hii watu wengi wangemtukana sana Pinna, tungekilaani kile kitendo kwa nguvu zote.
Pinna jana katoka salama ndani ya uwanja hilo ni jambo la kushukuru, ila kama Pinna atakuja kufa kutokana na athari zilizotokana na lile pambano nadhani Ibrahim Classic hawezi kukaa kwa amani kamwe katika maisha yake.
Mabondia wanatakiwa wapewe elimu ya kujilinda, kuwalinda wapinzani wao na utu na ubinadamu ndani ya ulingo.
na ile ya bwege inonga kwa sure bWeusi wengi Huwa hawana utimamu wa Akili. Angalia Morison alivyomkanyaga yule jamaa wa Azam
Yaani ulishakuwa muathirika wa siasa mavi za bongo Kila Mahalia ni siasa tuTanzania kwa ujumla hatujui thamani ya utu.
Vinginevyo Ndugai asingemfanyia Lissu ukatili na watu walikaa kimya kama hakuna kilichotokea.
Hapohapo kuna wabunge hawana chama wanakula good time.
Chunguza vizuri utajua tu hatuna utu
Alifanya kitendo ambacho si cha kiuungwana hata kidogo . Na akawa anashangilia kama kichaaNilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.
Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini
Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.
Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Alifanya kitendo ambacho si cha kiuungwana hata kidogo . Na akawa anashangilia kama kichaahNilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.
Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini
Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.
Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili
Kuna mtu huko Chadema kakutundika mimba kisha kakutolea nje mpuuzi mmoja weweNilidhani Ibrah kafanya kitendo fulani kibaya na cha hatari, kumbe kafanya finishing.
Anyway, wabongo ni kama Chadema tu, hatujui tunatakaga nini
Mara kaletewa bondia mbovu, mara kabebwa kisa mtz, Haya kamtwanga vizuri mmeshaanza kubwabwaja.
Mleta mada utakuwa na matatizo ya akili