Ibrahim Traore anatoa wapi fedha za kufanya maendeleo makubwa hivi Burkina Fasso?

Ibrahim Traore anatoa wapi fedha za kufanya maendeleo makubwa hivi Burkina Fasso?

Tanzania deni ni TIRILIONI 100 na hakuns jambo la maana wamefanya.
 
Magufuri kakaa madarakani miaka 6 mbona hakupunguza matumizi ya anasa kwa viongozi?
Mbona hakupunguza mishaara ya wabunge ,mawaziri, na maafisa wakuu wa serikali?
Mbona hakuanzisha sheria ya viongozi kulipa kodi kwenye mishaara yao?
Mbona hakupiga marufuku utamaduni wa viongozi kutembea na rundo ya magari?
Mbona hakusitisha manunuzi ya V8 ?
Kipindi chake si ndo akina Makonda walijipatia utajiri wa ghafla usio julikana wameupata kwa njia gani?
Kipindi chake si ndo wanasiasa wa mpinzani walipatia mabilion ya pesa kupitia ununuzi wa wapinzani kuunga mkono juhudi?
Chini ya utawala wake CAG alifichua upotevu wa tilion 1.5 badala ampongeze kwa kufichua ufisadi yeye akamfukuza tena kwa dhihaka na kejeli.
Sasa unamlinganisha Magufuri na huyo dogo kwa lipi hasa?
Nyinyi wafuasi wa jiwe mnamatatizo.
Mkuu watanzania ni mambumbumbu, ni rahisi kuyaigizia na yakakuamini. Yule Mzee alikuwa muigizaji hodari sana.
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Ziko wap mkuu mbona umeongea bila ushahid
 
Magufuli mbona alifanya mengi ndani ya muda mfupi! Anachofanya yule Rais ni kama alichokuwa anafanya Nyerere. Uhamasishaji watu wajiletee maendeleo, wawe na chakula, kile zidi anauza nje!

Jana nyie mlikuwa na Karume stadium na kwingineko, mkigawana posho, yeye ametembelea wakulima ndani ndani vijijini huko kuwatia moyo wamama na wanaume wazalishe zaidi chakula na mazao ya biashara! Nyie makongamano, .kupanga ni kuchagua!
 
Magufuri miaka 5 tu lakin
Ndege kama zote
Bwawa la umeme kubwa Dunia nzima
Umeme haukukatika
Tren ya umeme ya bibabe sana
Kujenga ikulu ya kibabe sana
Kuhamisha makao makuu kibabe sana
Fly over za kibabe sana
Madaraja makubwa ya kibabe sana
Huduma nzuri kwenye taasisi za serikali, ulikuwa ukifika unahudumiwa kama MFALME leo hii ukifika unaonekana kama panya tu
Bwawa la umeme kaliacha halijafika hata %50 kaja kulimalizia bibi kiziwi.
Tren ya umeme miaka 6 kaiacha morogoro bibi kiziwi ndani ya miaka mitatu tu ameipeleka mpaka dodoma.

Fly over jiwe anaingia madarakani alikuta mradi umesha jengwa kwa zaidi ya %60 na penyewe sio pesa za serikali ya Tz bali ni msaada kutoka Japan.
Madaraja daraja la kigamboni alikuta limekamilika kwa %97 yeye alikuja kulizindua tu, daraja la busisi kaacha likiwa %45 kaja kulimalizia bibi kiziwi, daraja la Tanzaneit nadhani ndo lilijengwa na jiwe kwa asilimia 100.

Kuhusu ndege na kujenga ikulu ni mtu mpumbavu pekee anaye weza kusifia miladi ya kipumbavu kuisi hicho,nchi yenye changamoto rukuki, nchi ambayo zaidi ya %70 ya watu wake hawana maji safi na salama,shule za serikali zimechakaa utadhani mabanda ya nguruwe, hazina madawati hazina vitabu, walimu wanalipwa miashaara ya 500,000, ukosefu wa ajila , nchi iliyo jaa barabara mbovu kila kona ya nchi, alafu eti unachukua matirion ya pesa kununua ndege ambazo zipo zinaitia nchi hasara ya mabilion ya fedha kila mwaka na kwenda kujenga Ikulu ya kifahari kwa ajili ya kujifaharisha.

Kabla ya kujiuliza kuhusu hilo ungejiuliza kwanza Kikwete alipata wapi pesa za kuajili maefu ya wahitimu kila mwaka, kujenga mtandao mkubwa sana wa lami, kujenga shule za kata, kuanzisha mradi wa REA ulio saidia kusambaza umeme vijijini, na bado mtaani kukawa na mzunguko mkubwa wa fedha.
 
Magufuli mbona alifanya mengi ndani ya muda mfupi! Anachofanya yule Rais ni kama alichokuwa anafanya Nyerere. Uhamasishaji watu wajiletee maendeleo, wawe na chakula, kile zidi anauza nje!

Jana nyie mlikuwa na Karume stadium na kwingineko, mkigawana posho, yeye ametembelea wakulima ndani ndani vijijini huko kuwatia moyo wamama na wanaume wazalishe zaidi chakula na mazao ya biashara! Nyie makongamano, .kupanga ni kuchagua!
Sasa mbona kipindi chake ndo mazao yalikosa soko na kazi ya kilimo ikageuka kuwa kazi ya laana?
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Magufuli alikuwa anatoa wapi hela?
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.
 
Afrika hela zipo tatizo ni vipaumbele vyetu tu. China ubunge ni kazi ya kujitolea, wabunge wanalipiwa usafiri wa go and return na posho ya malazi kipindi cha mikutano ya bunge. Mikutano ikiisha wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao za kuwaingizia kipato.

Hapa kwetu tuna wabunge 390 wapo kwenye payroll ya serikali na kila mmoja anakunja kiinua mgongo cha milioni 200 baada ya miaka mitano. Halafu bila aibu tunaenda china kuomba misaada
Tafsiri ya Roho ya kutu ya Mtanzania inaanzia hapo.
Mkuu tuna pesa nyingi saana na utajiri mkubwa sana.
 
Afrika hela zipo tatizo ni vipaumbele vyetu tu. China ubunge ni kazi ya kujitolea, wabunge wanalipiwa usafiri wa go and return na posho ya malazi kipindi cha mikutano ya bunge. Mikutano ikiisha wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao za kuwaingizia kipato.

Hapa kwetu tuna wabunge 390 wapo kwenye payroll ya serikali na kila mmoja anakunja kiinua mgongo cha milioni 200 baada ya miaka mitano. Halafu bila aibu tunaenda china kuomba misaada
Naaam mkuu umeandika sana sema hatujitambui kama taifa
 
Back
Top Bottom