Ibrahim Traore anatoa wapi fedha za kufanya maendeleo makubwa hivi Burkina Fasso?

Ibrahim Traore anatoa wapi fedha za kufanya maendeleo makubwa hivi Burkina Fasso?

Magufuri kakaa madarakani miaka 6 mbona hakupunguza matumizi ya anasa kwa viongozi?
Mbona hakupunguza mishaara ya wabunge ,mawaziri, na maafisa wakuu wa serikali?
Mbona hakuanzisha sheria ya viongozi kulipa kodi kwenye mishaara yao?
Mbona hakupiga marufuku utamaduni wa viongozi kutembea na rundo ya magari?
Mbona hakusitisha manunuzi ya V8 ?
Kipindi chake si ndo akina Makonda walijipatia utajiri wa ghafla usio julikana wameupata kwa njia gani?
Kipindi chake si ndo wanasiasa wa mpinzani walipatia mabilion ya pesa kupitia ununuzi wa wapinzani kuunga mkono juhudi?
Chini ya utawala wake CAG alifichua upotevu wa tilion 1.5 badala ampongeze kwa kufichua ufisadi yeye akamfukuza tena kwa dhihaka na kejeli.
Sasa unamlinganisha Magufuri na huyo dogo kwa lipi hasa?
Nyinyi wafuasi wa jiwe mnamatatizo.
Huna akili
 
Kwa hapa bongo CCM ni tatizo na sasa hivi tunaongeza majimbo ya ulaji
 
Kabisa.! Na kati ya mambo mabeberu hawataki kuyaona ni waafrika kujitegemea kiuchumi ! Wanataka kila siku twende kuwapigia magoti , kuwaeleza shida zetu kisha watupe misaada yenye masharti ya ajabuajabu yatakayopelekea kuharibu tamaduni zetu, Mila na desturi zetu.
Hili mimi ndio waga silikubali kabisa kwa sisi waafrika kutafuta mchawi kwa matatizo yetu tunayojiletea wenyewe. Yaani tujiibie wenyewe kisha tusingizie wazungu ni unafiki wa hali ya juu sana.
 
Hili mimi ndio waga silikubali kabisa kwa sisi waafrika kutafuta mchawi kwa matatizo yetu tunayojiletea wenyewe. Yaani tujiibie wenyewe kisha tusingizie wazungu ni unafiki wa hali ya juu sana.
Ambacho saa nyingine unajifanya hujui ni kwamba hawa viongozi wezi ndio wanaopendwa sana na mabeberu.
Viongozi wasiotaka wizi na ufisadi katika nchi zao kama hawa akina Traore na Magufuli hawapendwi na mabeberu.
 
Kabisa.! Na kati ya mambo mabeberu hawataki kuyaona ni waafrika kujitegemea kiuchumi ! Wanataka kila siku twende kuwapigia magoti , kuwaeleza shida zetu kisha watupe misaada yenye masharti ya ajabuajabu yatakayopelekea kuharibu tamaduni zetu, Mila na desturi zetu.
Mkuu, waafrika tunaweza sana, ila kila leo tunaambiwa na watu wabaya kuwa deni linahimilika
Kama linahimilika hizo hela zinaenda wapi?
Tumekuwa watu wa hovyo sana
Na wazungu watakupa misaada ili uendelee kuwa tegemezi
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Tafuta documentary ya aljazeera,africa; changing direction ya burkina faso,hayo matrekta hayatoshi,watu wanakodi matrekta binafsi ambayo ni bei juu,mbolea inapigwa zengwe
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Yeye anabana matumizi mabaya ya serikali, wizi wa mali za umma, anazuia rushwa na matokeo yanaonekana. Hapa Tanzania Magufuli alifanya hivi CCM wakamuua kwani alikuwa anawaumbua kwa kubana interests za watu wachache wasiokuwa na thamani yeyote katika nchi yetu mfano Mze Makamba na wapuuzi wenzake. Kwa muda mchache sana, Magufuli aliweza faya maajabu ambayo hata wewe unayaona......hii kitu inawezekana hapa Afrika sema tu hatuna viongozi wa ukweli, si mnaona hata Mama anavyoboronga hapa kwetu hivi sasa? Kwa hivi sasa wizi upo nje nje, machawa ndiyo wanaheshimika kwenye utawala huu wa Mama. Imagine, mtu hana hili wala lile lakini ndani ya CCM kwa hivi sasa anaheshimika shinda mbunge au waziri wa wizara. Nilishangaa majuzi pale Mlimani, niliona mawaziri na wajumbe wanamsujudu mtu kama Steve Nyerere, are we serious kweli.....yaani ndiyo tumefikia hapa baada ya kifo cha shujaa wetu Magufuli? Eti kuwadi anayenadi kina Mama na madada wa mjini anakuwa zaidi ya waziri? Ndiyo maana Afrika tunadharauliwa sana in World Politics kwa ujinga kama huu, nobody will take us seriously kama sisi wenyewe hatujiheshimu na kuwa serious na maamuzi yetu.
 
Bwawa la umeme kaliacha halijafika hata %50 kaja kulimalizia bibi kiziwi.
Tren ya umeme miaka 6 kaiacha morogoro bibi kiziwi ndani ya miaka mitatu tu ameipeleka mpaka dodoma.

Fly over jiwe anaingia madarakani alikuta mradi umesha jengwa kwa zaidi ya %60 na penyewe sio pesa za serikali ya Tz bali ni msaada kutoka Japan.
Madaraja daraja la kigamboni alikuta limekamilika kwa %97 yeye alikuja kulizindua tu, daraja la busisi kaacha likiwa %45 kaja kulimalizia bibi kiziwi, daraja la Tanzaneit nadhani ndo lilijengwa na jiwe kwa asilimia 100.

Kuhusu ndege na kujenga ikulu ni mtu mpumbavu pekee anaye weza kusifia miladi ya kipumbavu kuisi hicho,nchi yenye changamoto rukuki, nchi ambayo zaidi ya %70 ya watu wake hawana maji safi na salama,shule za serikali zimechakaa utadhani mabanda ya nguruwe, hazina madawati hazina vitabu, walimu wanalipwa miashaara ya 500,000, ukosefu wa ajila , nchi iliyo jaa barabara mbovu kila kona ya nchi, alafu eti unachukua matirion ya pesa kununua ndege ambazo zipo zinaitia nchi hasara ya mabilion ya fedha kila mwaka na kwenda kujenga Ikulu ya kifahari kwa ajili ya kujifaharisha.

Kabla ya kujiuliza kuhusu hilo ungejiuliza kwanza Kikwete alipata wapi pesa za kuajili maefu ya wahitimu kila mwaka, kujenga mtandao mkubwa sana wa lami, kujenga shule za kata, kuanzisha mradi wa REA ulio saidia kusambaza umeme vijijini, na bado mtaani kukawa na mzunguko mkubwa wa fedha.
Hata kama humpendi jiwe yule mzee huwezi kumbagadha!
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Chai
 
Swali la mada ni fikirishi, hiyo imenipeleka kuleta kijipande kidogo na fikirishi cha spichi cha D.Trump akigusia changamoto na masuluhisho ya Immigration US.

Raisi wa Marekani D.Trump, alisema

"...we must have legislation to secure the border. But it turned out that all we really needed was a NEW PRESIDENT..."

Kwa msingi huo, sidhani kama Tanzania ama nchi nyingine za Afrika zinahitaji, sheria au fedha per se kupata maendeleo, labda ni New President? Na Maamuzi magumu?

kwa hayo, sidhani kama ni fedha ndiyo iliyowasumbua na upatakanaji wa maendeleo, naona ni maamuzi magumu ambayo ameyachukua Rais Traore ndio yanayo wapatia wananchi wake matamanio yao ya maendeleo, kama ilivyomchukua D.Trump na maamuzi magumu kufikia tatuzi ya immigration.
 
Ambacho saa nyingine unajifanya hujui ni kwamba hawa viongozi wezi ndio wanaopendwa sana na mabeberu.
Viongozi wasiotaka wizi na ufisadi katika nchi zao kama hawa akina Traore na Magufuli hawapendwi na mabeberu.
Huo ni uongo wa wazi kabisa, wakati wa Magufuli ni nani alikamatwa na kuhukumiwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa mali ya umma na kwa nini alimtimua CAG kufuatia CAG kugundua wizi wa shilingi trilioni 1.5 za umma..!!??😧😧😧
 
Ingawa masikini wote na ombaomba mnapewa misaada, lakini wapo wanaowajali watu wao kwa hiyo misaada.

Na yapo majizi yanayokula hizo pesa bila kujali watu wake
Huyu kijana kaamua hizo za misaada na bajeti ya nchi kuitumia vizuri
Wanaweza kuacha kuwa tengemezi kwa asilimia kubwa sana

Amepunguza mishahara kwa viongozi wakubwa na kuwaongezea wafanyakazi

Kama na sisi hela za misaada ambazo wanatufanya wajinga na kusema ni misaada ya kujengea vyoo tu, basi tutaendelea kuwa masikini miaka 200 ijayo
Fedha za misaada amezikataa anaseme ni Ukoloni Mamboleo.
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?

Mwamba anasafiri kwa kutumia Pickup utadhani Afisa Ugani. Halafu hapo nyuma yake kuna Mwamba amebeba Briefcase amenikumbusha enzi za Utawala wa JPM hapa Tz.
 
Yeye anabana matumizi mabaya ya serikali, wizi wa mali za umma, anazuia rushwa na matokeo yanaonekana. Hapa Tanzania Magufuli alifanya hivi CCM wakamuua kwani alikuwa anawaumbua kwa kubana interests za watu wachache wasiokuwa na thamani yeyote katika nchi yetu mfano Mze Makamba na wapuuzi wenzake. Kwa muda mchache sana, Magufuli aliweza faya maajabu ambayo hata wewe unayaona......hii kitu inawezekana hapa Afrika sema tu hatuna viongozi wa ukweli, si mnaona hata Mama anavyoboronga hapa kwetu hivi sasa? Kwa hivi sasa wizi upo nje nje, machawa ndiyo wanaheshimika kwenye utawala huu wa Mama. Imagine, mtu hana hili wala lile lakini ndani ya CCM kwa hivi sasa anaheshimika shinda mbunge au waziri wa wizara. Nilishangaa majuzi pale Mlimani, niliona mawaziri na wajumbe wanamsujudu mtu kama Steve Nyerere, are we serious kweli.....yaani ndiyo tumefikia hapa baada ya kifo cha shujaa wetu Magufuli? Eti kuwadi anayenadi kina Mama na madada wa mjini anakuwa zaidi ya waziri? Ndiyo maana Afrika tunadharauliwa sana in World Politics kwa ujinga kama huu, nobody will take us seriously kama sisi wenyewe hatujiheshimu na kuwa serious na maamuzi yetu.
Niambie ni mikakati gani iliyo wekwa na Magufuri kubana matumizi ya hovyo?

Alafu Magufuri si ndo muasisi wa kugawa vyeo kwa misingi ya uchawa
Huyu mama si anaiga tu?
 
Mwamba anasafiri kwa kutumia Pickup utadhani Afisa Ugani. Halafu hapo nyuma yake kuna Mwamba amebeba Briefcase amenikumbusha enzi za Utawala wa JPM hapa Tz.
Magufuli na yeye alikuwa anapanda pickup?
 
Rais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.

Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.

Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.

Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?

Propaganda hizo mkuu.

Hakuna rwliable sources ya hayo mambo.
 
Back
Top Bottom