Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Hujanielewa Ndugu yangu. Sijasema Magufuli alikuwa anatumia pickup kusafiri ila nimesema kuna Mlinzi Mmoja wa Traore amebeba Briefcase kama alivyokuwa anabeba Mpambe mmoja wa Magufuli enzi za Utawala wa JPM.Magufuli na yeye alikuwa anapanda pickup?
Hapa kwetu wakulima wa mpunga wanafukuzwa mbugani kupisha hifadhi na uwekezaji kwenye michikichi! Njaa ikiingia nchini mnasingizia Mungu. Uimara wa Taifa ni pamoja na kuwa na chakula cha kutosha kwa watu wake, nimependa sana Traore anavyohamasisha wananchi wake wazalishe chakula cha kutosha ili Taifa lisikumbwe na njaaMagufuli mbona alifanya mengi ndani ya muda mfupi! Anachofanya yule Rais ni kama alichokuwa anafanya Nyerere. Uhamasishaji watu wajiletee maendeleo, wawe na chakula, kile zidi anauza nje!
Jana nyie mlikuwa na Karume stadium na kwingineko, mkigawana posho, yeye ametembelea wakulima ndani ndani vijijini huko kuwatia moyo wamama na wanaume wazalishe zaidi chakula na mazao ya biashara! Nyie makongamano, .kupanga ni kuchagua!
Safi sana, bora kuwa na Utu wa hivyoFedha za misaada amezikataa anaseme ni Ukoloni Mamboleo.
Huku kazi ni kulindana na kuteyeana ili mfumo husitoke madarakani upuuzi mtupu watu wamaliza rasilimali za nchi na watu masikini wanabaki kushangaa tu na kuteseka hongera kwa Mwamba kawezaRais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.
Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.
Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.
Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Haibi wala kutumia vibaya kama mama yenu na chawa wake. SimpoRais wa Burkina Faso ameanzisha viwanda, amewezesha kilimo kuchangia pato la Taifa kwa 30%, amenunua trekta na vifaa vya kisasa vya kilimo lakini pia amejenga nyumba zaidi ya 1000 na kuwapa wananchi wa hali ya chini.
Katika maadhimisho ya wanawake ameonekana akiwa mashambani kisha kufanya majadiliano na wamama wakulima. Ameshusha mishahara ya wanasiasa na kupandisha mishahara ya wafanyakazi wa chini wakiwemo walimu.
Baada ya wanasiasa kuonekana kutoridhika na kushushiwa mishahara amewafuta kazi na kuwapa wanajeshi kazi katika baraza la mawaziri. Amefuta mpango wa manunuzi ya magari ya kifahari na sasa wanasiasa wananunua gari za kawaida kabisa zisizotumia umeme.
Kama haya yamefanyika Burkinafaso penye makundi ya uhalifu kwanini Tanzania na nchi za Afrika zinapendelea kuishi kwa misaada? Hii misaada itatupa uhuru?
Daaah my country peopleAfrika hela zipo tatizo ni vipaumbele vyetu tu. China ubunge ni kazi ya kujitolea, wabunge wanalipiwa usafiri wa go and return na posho ya malazi kipindi cha mikutano ya bunge. Mikutano ikiisha wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao za kuwaingizia kipato.
Hapa kwetu tuna wabunge 390 wapo kwenye payroll ya serikali na kila mmoja anakunja kiinua mgongo cha milioni 200 baada ya miaka mitano. Halafu bila aibu tunaenda china kuomba misaada
Una uhakika mkuu wewe hutumii hisia unapomzungumzia Magufuli?Kichwani mwako kumejaa makojo kama utambulisho wako.
Tatizo nyinyi wafuasi wa jiwe mnaongozwa na hisia badala ya akili ndo maana jiwe aliweza kuwafanyia maigizo ya kipumbavu na nyinyi mkayameza kama yalivyo.
Jibu hoja je niliyo yaandika hapo kuna uongo wowote?
Huna unachokijua ni bora ukae kimya tu. Inaonesha wewe ni miongoni mwa wale waliojeruhiwa na utawala wa JPM kwa either kwenye vyeti feki, uzembe, ufisadi au ubadhirifu.Kati ya vitu huwa nashangaa ni hawa proMagu wanavyomfananisha na Trump au huyu mbukinabe.
Yule bwana alikua fundi wa propaganda kuwahadaa hao wanaojiita walalahoi ila deepdown hakusolve matatizo moja kwa moja zaidi ya kucheza na media tu.
Hakuna asiejua kufuru za mishahara ya wakurugenzi, mawaziri, wabunge nk, serikali inaendeshwa kwa gharama kubwa mno.