Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulipigwaaahKumbe juzi niliyemtumia hela sio wewe ilikua kama $36,000
Lugano maana yake ni Njaa,
Umenikumbusha ile Tenzi ya Kyala lugano, anganile!Lugano ni upendo
Hahahaha nahisi ww ni mshakiji wangu na tumesoma wote pale Majengo Sec Moshi, ulikuwa mtu wa masihara sana na mpenda totoz kinoma nadhani ndo unayaendeleza hapa Lugano Obeid tulimaliza six 2014Nimekuwa nikipokea malalamiko sana kutoka kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wakisema kuna watu wamekuwa wakiomba Funds kwa ajili ya Taasisi zao kwa kutumia jina langu la Kiduku Lilo.
Kwanza watu wangu walikuwa wanashangaa kuwa nini kimetokea mpaka naomba nichangiwe Usd 50,000 eti za kusaidia watu wenye uelewa hafifu na wenye mtindio wa kiuchumi. Maskini.
Jamaa zangu wengi na mashirika wamekuwa wakituma hizo pesa bila kuuliza. Lakini kuna jamaa yangu alinipigia simu leo akiwa Norway na kuuliza vipi hali yako kiuchumi mpaka unafikia kuomba utumiwe USD 25,000 Umekumbwa na nini? Ndo nikaona isiwe Shida. Kwa sasa Ntatambulika kama Bill Lugano. Hapo nimetumia jina moja la kibantu ambalo nilipewa kama kutunza asili ya Ubantu.
Huwa nawaambia mzazi wangu mmoja ana asili ya Tanzania. Mwingine ni Foreigner. So hapo walinipa majina moja la kizungu la Bill na lingine la Kibantu Lugano.
Karibuni sana wadau. Nipo hapa Hyatt Hotel napunga upepo tu weekend hii. Nikitafakari mambo mbalimbali. Nikichoka naenda zangu kulala, nilishachukua chumba. Waswahili hapo wakichukua chumba ni mpaka wawe na msichana. Si lazima.
Kabisa mkuu.Acha watu wenye vipaji vyao wavitumie. Uandishi wake kuna wanajamii wanaburudika na hata kuelimika. Siyo kila pahala kushutumu na kusaili.
Mbona umemchimbia shimo refu kiasi hicho?Ni wivu tu, unaonekana kuwa na chuki kwa jamaa na wivu. Hivi kuna mtu anaandika mambo ya kipumbavu ya kitoto kama wewe humu JF? Bill Lugano is very bright na wengi tuna mpenda. Hana ugomvi na mtu, hana matusi na mtu. Ana malezi mazuri si kama wewe ambaye ulichoandika tu hapa kinaonesha hukulelewa vyema. Bill Lugano ni the Don. Ana pesa wewe una matusi. Ana akili wewe una funza kichwani. Anafahamu mambo wewe unafahamu michambo...
Yupo alikuwa anasumbuliwa na Mafua ameenda kufanya chek up IndiaNimemmiss nyuzi za bill lugano.... sijui yupo wap.....nikiongea la kinyaki
Na atafunwe tu kama story zake ni za kusadikikaUkishamaliza kuandika, zima kibatari ulale, huu ni muda wa kunguni kukukula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lughano uchumi uyumbile [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yupo alikuwa anasumbuliwa na Mafua ameenda kufanya chek up India
hahaaaa[emoji23]umenichekesha jinsi ukipita mbweni unakutana na mijengo ya bill lugano[emoji23]Namkubar sana billi ligano ,ujue anakupa vibe fulan za maisha fulan ya kufikirika ambayo anayoondika yanweza kuwa ya kweli au la ilaa haimanishi hakuna watu hawaishi hayo maisha hapa hapa bongo hiii.acheni bhnaaa bongo hapa kuna watu sio mabillionea ilaa wana hela aisee sio utani ,nikipitaga masaki ,niende mbezi beach,Mara nikiingia mbweni kule naona mijengo ya bill lugano ,nikikutana na ford ranger tu namuwazaga huyu jamaa kuwa yaweza kuwa yeye anatoka sokoni kununua mahitaji
Sio hivyo tu nikionaga range rover kalii akili yangu yote inamuwazaga huyu jamaa kuwa anaweza kuwa yeye ,nikionaga mbongo ameongozana na wazungu wanaoonekana kama wataliii hivi au wana pesa najuaga huyu anaweza kuwa bill lugano ,nikikutana na MTU ambaye anaonekana ana hela najuaga ni huyu jamaa yawezekana ,nikiishiwa nawazaga nikutanae nae hata niombe kazi ya kukatia bustani kwenye apartment
Bill lugano unanipa maflavour sana ,kiufupi nimejua magar makali makali kupitia ww .
Na wewe jaza wivu tuUnatujazia server tu
Donty take it seriously!we are just enjoying the life with our very own malafyale gwa kukaja luganosifa kuu ya watu wenye pesa sio watu wa kujisifia sio mtandaoni au kokote kule.
Hakuna mtu mwenye vipesa akawa anajim2ambafai katu katu.
Mtu ukiona anajimwambafai ujue hama kitu,ni hohe hahe
.
Ukiona mtu anaweza kumiliki pesa basi jua aliweza kumiliki mdomo wake pia.