Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Tajiri huwa nikisoma nyuzi zako tu nashushia na juisi ya bamia.🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama ni mwenyeji huko we can arrange. Siyo tatizo. Utanambia tu nini na nini vinahitajika.Komenti ziwe fupi fupi wadau,
anyway oy mkuu Bill Logie siku moja ufanye ziara ya kushtukiza Tukuyu
Ukajionee RAIA wa huko lifestyle yao ya ukarimu, pia usisahau kwenda kula bata Kyela na matema beach nadhani huko kidogo kutakupa experience na memory nzuri ya jiji la Miami Florida US,
bata liendelee
mitano ya ziada!
Kwako the coming Kiduku liloNmekuwa nikipokea Malalamiko sana kutoka kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wakisema kuna watu wamekuwa wakiomba Funds kwa ajili ya Taasisi zao kwa kutumia jina langu la Kiduku Lilo.
Kwanza watu wangu walikuwa wanashangaa kuwa nini kimetokea mpaka naomba nichangiwe Usd 50,000 eti za kusaidia watu wenye uelewa hafifu na wenye mtindio wa kiuchumi. Maskini.
Jamaa zangu wengi na mashirika wamekuwa wakituma hizo pesa bila kuuliza. Lakini kuna jamaa yangu alinipigia simu leo akiwa Norway na kuuliza vipi hali yako kiuchumi mpaka unafikia kuomba utumiwe USD 25,000 Umekumbwa na nini? Ndo nikaona isiwe Shida. Kwa sasa Ntatambulika kama Bill Lugano. Hapo nimetumia jina moja la kibantu ambalo nilipewa kama kutunza asili ya Ubantu.
Huwa nawaambia mzazi wangu mmoja ana asili ya Tanzania. Mwingine ni Foreigner. So hapo walinipa majina moja la kizungu la Bill na lingine la Kibantu Lugano.
Karibuni sana wadau. Nipo hapa Hyatt Hotel napunga upepo tu weekend hii. Nikitafakari mambo mbalimbali. Nikichoka naenda zangu kulala.nlishachukua chumba. Waswahili hapo wakichukua chumba ni mpaka wawe na msichana. Si lazima.
All in all Huwa na enjoy thread za KIDUKULILONi wivu tu, unaonekana kuwa na chuki kwa jamaa na wivu. Hivi kuna mtu anaandika mambo ya kipumbavu ya kitoto kama wewe humu JF? Bill Lugano is very bright na wengi tuna mpenda. Hana ugomvi na mtu, hana matusi na mtu. Ana malezi mazuri si kama wewe ambaye ulichoandika tu hapa kinaonesha hukulelewa vyema. Bill Lugano ni the Don. Ana pesa wewe una matusi. Ana akili wewe una funza kichwani. Anafahamu mambo wewe unafahamu michambo...
Ahhaha tupo hapa na kaka yetu bilionea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahhaha tupo hapa na kaka yetu bilionea
Aaaah Bukoba hakuna wajinga wa hivi..Lugano ni Wanyaki wa Uyole. Mi nikajuaga we jamaa wa Bukoba.
Ushamba unakusumbua.. na wivu wa vitu fictional utakuua..Ukiachilia mbali Sifa za Kipumbavu ulizonazo, Utoto ( japo ni Mkubwa ) na Ushamba unaokusumbua ila hata katika Maelezo yako hasa Kiuandishi hapa unaonekana ama si Mwanaume Riziki au uko mbioni kutokuwa Mwanaume Rijali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwasababu kwetu Kuna mabilionea Kama Bill Lugano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila we jamaa unajua kutia watu hasira ya maisha...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kubbbak[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Bill Lugano naona watu wengi wanamkubali sanaaaaa, bila shaka yupo vzr na anazikonga nyoyo za watu vizur kabisa. Acha nam nianze kumfwatilia vzr huyu upendo wa kinyakyusa[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tajiri huwa nikisoma nyuzi zako tu nashushia na juisi ya bamia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]