ID ya Kidukulilo nimeiacha baada ya Kuibuka Matapeli huko Mitandaoni. Natumia Bill Lugano (Billionaire Lugano)

ID ya Kidukulilo nimeiacha baada ya Kuibuka Matapeli huko Mitandaoni. Natumia Bill Lugano (Billionaire Lugano)

sifa kuu ya watu wenye pesa sio watu wa kujisifia sio mtandaoni au kokote kule.

Hakuna mtu mwenye vipesa akawa anajim2ambafai katu katu.

Mtu ukiona anajimwambafai ujue hama kitu,ni hohe hahe
.
Ukiona mtu anaweza kumiliki pesa basi jua aliweza kumiliki mdomo wake pia.
Sio kweli ndugu usikariri maisha inaezekana wenye ela hujawahi shinda nao labda. Hyo ni tabia ya mtu tu na alivo nature yake. Wapo wenye ela kibao na wanajisifu chukulia mfano Jay-Z ana 1b $ na huwa anajisifu sana. Waarabu wanajisifu sana 2.
 
😂😂😂😂 Umeshikwa pabaya leo yatakutoka yoooooote. Mimi ndo bill lugano. 😂😂😂😂😂
Eti kuna ukweli wowote kuwa Chizi Maarifa ndiyo huyo huyo Gentamycine? Hivi ni kwanini mnapenda kuwa na ID's nyingi wakati Sisi wengine hizi ID's zetu moja moja tu kama hii yangu ya All - Rounder inanishinda? Halafu ID's zako zote mbili hizo ( Chizi Maarifa na Gentamycine ) zimebamba kweli kweli hapa JF hadi kila mara zinatajwa tu zenyewe. Sijui na Mimi All - Rounder nifanyeje ili na hii yangu ibambe kama zako hizo.
 
Nawashukuru ndugu zangu Watanzania wenye Mtizamo Chanya na wapenda maendeleo. Kwa nini mimi nikisema nina pesa watu wanachukia? Wanataka niseme Sina ili ndo wafurahi? Why? Sijawahi pata muda wa kubishana na mtu kwa jambo ambalo mimi ndo nalifahamu. Kwa nini nibishane?

Nikisema mimi nina gari Range Rover 2, GMC,BMW,JEEP,MERCEDES BENZ na kuna jingine nataka ninunue mwaka huu. Wewe ukasema sina. Halafu mimi najua ninayo hayo magari inaniathiri nini? Nikisema ninayo halafu wewe ukasema sina na mimi kweli sina hilo pia linakuathiri nini wewe?

Mara ya mwisho nimebishana na mtu ilikuwa mwaka 2012 nlimwambia hakuna usafiri wa Toyota unafika thamani ya Mil 250 za Kitanzania akanambia upo. Nikamwambia nampa Mil 2 ya voucher akinionesha tu kwenye mtandao.akanionesha. basi nikampa Mil 2 na 200,000 sababu alitumia data kusearch hiyo info. Nikagundua mimi kutokujua kitu haimaanishi kuwa hakipo. Nliacha kubisha siku hiyo. Maisha ni Darasa Endelevu na kila siku tunajifunza.

So nilijifunza kila mtu ana haki ya kuamini anachoamini. Huwa sina sababu ya kuchukia. Niliwahi chukia tu siku moja Traffic aliponipiga faini sababu ya speed akaandika tsh 30,000 nikamuuliza ana uhakika ni tsh 30,000 na si 300,000 akasema ni tsh 30,000. Nikamwambia aache kuomba rushwa kijanja kwa kosa lile fain haiwezi kuwa chini ya 300,000 sitaki kumpa rushwa nataka nichangie mapato. Nikatoa 300,000 nikampa nikaondoka zangu nikimwacha aandike kosa ajuavyo yeye.
 
Komenti ziwe fupi fupi wadau,
anyway oy mkuu Bill Logie siku moja ufanye ziara ya kushtukiza Tukuyu
Ukajionee RAIA wa huko lifestyle yao ya ukarimu, pia usisahau kwenda kula bata Kyela na matema beach nadhani huko kidogo kutakupa experience na memory nzuri ya jiji la Miami Florida US,


bata liendelee

mitano ya ziada!
 
Hizo habari nilipata nikiwa UK nilipigiwa simu na Wanasheria wangu kuwa kuna mtu anatumia ID yangu na anaonekana hana akili. Sasa toka kipindi kile wakawa wanasheria na washauri wangu wanasema tumshtaki nikasema hapana.

Watanzania wengi ni maskini mlo tu wanapata mara tatu kwa siku na kutumia usafiri mgumu wa Toyota za miaka kumi iliyopita.

Hatokuwa na kitu wamwache tu. Ndio nikashauriwa na jopo la washauri nitumie jina hili. Na jana rasmi baada ya kuruhusiwa na Mahakama na BRELA nikaona niwasiliane na Max. Ingawa naye alisikitika sana kwa jambo hili. Ila ni mtu smart sana.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila we jamaa unajua kutia watu hasira ya maisha...
 
Unapatikana wapi ili kama una muda Unifundishe Hii Lugha. Maana kwasasa nafahamu lugha 7 tu za Kimataifa.

Kama hutojali na una mtaala wa kufundishia hii lugha tukubaliane niwe nakulipa USD 500 kwa masaa mawili tafuta Hotel ambayo itakuwa na room ndogo tu ambayo inaweza tumika kama darasa. Nitalipa. Pia nawe unaweza kaa hapo uchukue chumba. Nitalipa. Ili uwe unatulia tu na kutafakari cha kunifundisha.
Kubbbak[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Nawashukuru ndugu zangu Watanzania wenye Mtizamo Chanya na wapenda maendeleo. Kwa nini mimi nikisema nina pesa watu wanachukia? Wanataka niseme Sina ili ndo wafurahi? Why? Sijawahi pata muda wa kubishana na mtu kwa jambo ambalo mimi ndo nalifahamu. Kwa nini nibishane?

Nikisema mimi nina gari Range Rover 2, GMC,BMW,JEEP,MERCEDES BENZ na kuna jingine nataka ninunue mwaka huu. Wewe ukasema sina. Halafu mimi najua ninayo hayo magari inaniathiri nini? Nikisema ninayo halafu wewe ukasema sina na mimi kweli sina hilo pia linakuathiri nini wewe?

Mara ya mwisho nimebishana na mtu ilikuwa mwaka 2012 nlimwambia hakuna usafiri wa Toyota unafika thamani ya Mil 250 za Kitanzania akanambia upo. Nikamwambia nampa Mil 2 ya voucher akinionesha tu kwenye mtandao.akanionesha. basi nikampa Mil 2 na 200,000 sababu alitumia data kusearch hiyo info. Nikagundua mimi kutokujua kitu haimaanishi kuwa hakipo. Nliacha kubisha siku hiyo. Maisha ni Darasa Endelevu na kila siku tunajifunza.

So nilijifunza kila mtu ana haki ya kuamini anachoamini. Huwa sina sababu ya kuchukia. Niliwahi chukia tu siku moja Traffic aliponipiga faini sababu ya speed akaandika tsh 30,000 nikamuuliza ana uhakika ni tsh 30,000 na si 300,000 akasema ni tsh 30,000. Nikamwambia aache kuomba rushwa kijanja kwa kosa lile fain haiwezi kuwa chini ya 300,000 sitaki kumpa rushwa nataka nichangie mapato. Nikatoa 300,000 nikampa nikaondoka zangu nikimwacha aandike kosa ajuavyo yeye.
ha ha ha
 
Gentamycine pamoja na kubadilisha ID akili imebaki ile ile...[emoji23][emoji23][emoji23] Ya kipumbavuh na wivu. Huyu Bill ndo habari ya mjini. Kwa wanaume watafutaji na wenye malezi mema. Sisi tunafuata madini aliyo nayo.... Huwa hana ugomvi na mtu. Wewe ulishadharaulika mpaka ukaamua kubadili ID ila akili ikabaki ni ile ile kisoda kichwa ndoo. Watu wameendelea kukudharau. Mwenzio mwanaume kabadili ID na taarifa katoa. Wewe sasa ..... Umebadili kimya kimya ila watu wakisoma wanaona hizi akili za kichokoraa mbona ni za gentamycine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaaahaaaaaa hakuna mtu anaishi kwa tabu humu km huyu popoma anachukiwa vibaya mnooooo
 
Ukiachilia mbali Sifa za Kipumbavu ulizonazo, Utoto ( japo ni Mkubwa ) na Ushamba unaokusumbua ila hata katika Maelezo yako hasa Kiuandishi hapa unaonekana ama si Mwanaume Riziki au uko mbioni kutokuwa Mwanaume Rijali.
Kama unaweza kua na mtazamo huu kwenye posts za kiduku lilo basi kamuone daktrari.
Life so easy don't complicate
 
Back
Top Bottom