ID ya Kidukulilo nimeiacha baada ya Kuibuka Matapeli huko Mitandaoni. Natumia Bill Lugano (Billionaire Lugano)

ID ya Kidukulilo nimeiacha baada ya Kuibuka Matapeli huko Mitandaoni. Natumia Bill Lugano (Billionaire Lugano)

Namkubar sana billi ligano ,ujue anakupa vibe fulan za maisha fulan ya kufikirika ambayo anayoondika yanweza kuwa ya kweli au la ilaa haimanishi hakuna watu hawaishi hayo maisha hapa hapa bongo hiii.acheni bhnaaa bongo hapa kuna watu sio mabillionea ilaa wana hela aisee sio utani ,nikipitaga masaki ,niende mbezi beach,Mara nikiingia mbweni kule naona mijengo ya bill lugano ,nikikutana na ford ranger tu namuwazaga huyu jamaa kuwa yaweza kuwa yeye anatoka sokoni kununua mahitaji

Sio hivyo tu nikionaga range rover kalii akili yangu yote inamuwazaga huyu jamaa kuwa anaweza kuwa yeye ,nikionaga mbongo ameongozana na wazungu wanaoonekana kama wataliii hivi au wana pesa najuaga huyu anaweza kuwa bill lugano ,nikikutana na MTU ambaye anaonekana ana hela najuaga ni huyu jamaa yawezekana ,nikiishiwa nawazaga nikutanae nae hata niombe kazi ya kukatia bustani kwenye apartment

Bill lugano unanipa maflavour sana ,kiufupi nimejua magar makali makali kupitia ww .
Kabisaaah yaan
 
Kaka billionea bora umeachana na hiyo ID. Kuna siku niliona kiduku lilo wa tweeter akimwita Jk 'My'. Nilistuka sana, nikajiuliza bosi Lugano amepatwa na nini? Tuko pamoja bosi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bill lugano! Napiga picha za kupost Instagram, vipi nikileta mteja wangu apige picha kwenye gari yako ambayo huitumii saaaana!!

NB: MIMI NI PHOTOGRAPHER
 
Hizo habari nilipata nikiwa UK nilipigiwa simu na Wanasheria wangu kuwa kuna mtu anatumia ID yangu na anaonekana hana akili. Sasa toka kipindi kile wakawa wanasheria na washauri wangu wanasema tumshtaki nikasema hapana.

Watanzania wengi ni maskini mlo tu wanapata mara tatu kwa siku na kutumia usafiri mgumu wa Toyota za miaka kumi iliyopita.

Hatokuwa na kitu wamwache tu. Ndio nikashauriwa na jopo la washauri nitumie jina hili. Na jana rasmi baada ya kuruhusiwa na Mahakama na BRELA nikaona niwasiliane na Max. Ingawa naye alisikitika sana kwa jambo hili. Ila ni mtu smart sana.
Woyoooooooooooooh
 
Bill Lugano mtu ya watu Sana , very humble , Hana makuu , Mzee wa kututoa mastress ...... Tushauri kidogo tufanye nini angalau tufikie uchumi wa Kati, tuwe tunakula angalau Milo mitano Kwa siku mana Milo mitatu ni umaskini na ufukara wa Hali ya juu , unaamka asubh na kiporo cha wali maharage daah et tunaita tumekunywa chai [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo habari nilipata nikiwa UK nilipigiwa simu na Wanasheria wangu kuwa kuna mtu anatumia ID yangu na anaonekana hana akili. Sasa toka kipindi kile wakawa wanasheria na washauri wangu wanasema tumshtaki nikasema hapana.

Watanzania wengi ni maskini mlo tu wanapata mara tatu kwa siku na kutumia usafiri mgumu wa Toyota za miaka kumi iliyopita.

Hatokuwa na kitu wamwache tu. Ndio nikashauriwa na jopo la washauri nitumie jina hili. Na jana rasmi baada ya kuruhusiwa na Mahakama na BRELA nikaona niwasiliane na Max. Ingawa naye alisikitika sana kwa jambo hili. Ila ni mtu smart sana.

Sasa sikumoja moja fanya kutugawia miamala bana umaskin unatuuaa
 
Hizo habari nilipata nikiwa UK nilipigiwa simu na Wanasheria wangu kuwa kuna mtu anatumia ID yangu na anaonekana hana akili. Sasa toka kipindi kile wakawa wanasheria na washauri wangu wanasema tumshtaki nikasema hapana.

Watanzania wengi ni maskini mlo tu wanapata mara tatu kwa siku na kutumia usafiri mgumu wa Toyota za miaka kumi iliyopita.

Hatokuwa na kitu wamwache tu. Ndio nikashauriwa na jopo la washauri nitumie jina hili. Na jana rasmi baada ya kuruhusiwa na Mahakama na BRELA nikaona niwasiliane na Max. Ingawa naye alisikitika sana kwa jambo hili. Ila ni mtu smart sana.
🤣🤣
 
Hizo habari nilipata nikiwa UK nilipigiwa simu na Wanasheria wangu kuwa kuna mtu anatumia ID yangu na anaonekana hana akili. Sasa toka kipindi kile wakawa wanasheria na washauri wangu wanasema tumshtaki nikasema hapana.

Watanzania wengi ni maskini mlo tu wanapata mara tatu kwa siku na kutumia usafiri mgumu wa Toyota za miaka kumi iliyopita.

Hatokuwa na kitu wamwache tu. Ndio nikashauriwa na jopo la washauri nitumie jina hili. Na jana rasmi baada ya kuruhusiwa na Mahakama na BRELA nikaona niwasiliane na Max. Ingawa naye alisikitika sana kwa jambo hili. Ila ni mtu smart sana.
Tuko pamoja kaka bosi Billionea, na nikupongeze kwa kuwa na jopo la wataalam na washauri makini.
 
Unapatikana wapi ili kama una muda Unifundishe Hii Lugha. Maana kwasasa nafahamu lugha 7 tu za Kimataifa.

Kama hutojali na una mtaala wa kufundishia hii lugha tukubaliane niwe nakulipa USD 500 kwa masaa mawili tafuta Hotel ambayo itakuwa na room ndogo tu ambayo inaweza tumika kama darasa. Nitalipa. Pia nawe unaweza kaa hapo uchukue chumba. Nitalipa. Ili uwe unatulia tu na kutafakari cha kunifundisha.
Katika vitu ambavyo sivielewi kabisa, Ni wale wanaokereka na post zako. Siwaelewi kabisaaaaaa.
Nimepata hoteli moja kali sana bei poa.
Hii hapa pichani
1615023530359.png
 
Gentamycine pamoja na kubadilisha ID akili imebaki ile ile...[emoji23][emoji23][emoji23] Ya kipumbavuh na wivu. Huyu Bill ndo habari ya mjini. Kwa wanaume watafutaji na wenye malezi mema. Sisi tunafuata madini aliyo nayo.... Huwa hana ugomvi na mtu. Wewe ulishadharaulika mpaka ukaamua kubadili ID ila akili ikabaki ni ile ile kisoda kichwa ndoo. Watu wameendelea kukudharau. Mwenzio mwanaume kabadili ID na taarifa katoa. Wewe sasa ..... Umebadili kimya kimya ila watu wakisoma wanaona hizi akili za kichokoraa mbona ni za gentamycine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaaaaaa [emoji23] [emoji1787]
 
Back
Top Bottom