ID ya Kidukulilo nimeiacha baada ya Kuibuka Matapeli huko Mitandaoni. Natumia Bill Lugano (Billionaire Lugano)

Mkuu mm nakukubali sana lkn kwa nn wengi wanaopita kweny habari zako watakudith sana wengi wao ni watu wa halie ya chini sana
 
Hahahaha nahisi ww ni mshakiji wangu na tumesoma wote pale Majengo Sec Moshi, ulikuwa mtu wa masihara sana na mpenda totoz kinoma nadhani ndo unayaendeleza hapa Lugano Obeid tulimaliza six 2014
 
Mbona umemchimbia shimo refu kiasi hicho?
 
Va bambu tuhengai kazi tukoto kujivunila id fakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hahaaaa[emoji23]umenichekesha jinsi ukipita mbweni unakutana na mijengo ya bill lugano[emoji23]
 
Donty take it seriously!we are just enjoying the life with our very own malafyale gwa kukaja lugano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…