implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Ndio ni ngumu kumjua,labda wale wenye kazi maalumu,yakufatilia person,wanasema wenyewe kwa maslahi ya taifa.Hivi unataka kusema kuwa haiwezekani kumfahamu mtu, kama ukiamua kumfuatilia kwa kina? kisa fake Id?
Sio kweli Songwe bad Mara wapi na wapi
Mkuu sio rahisi wewe uchukue maamuzi ya kipuuzi na sisi majobless wenzako tupo , ila haiombagwi hivyo bwashee 😂Unachosema ni kweli mkuu 😂. Sijui nimeumbwaje ila Mimi ni mtu ambaye Niko so real!
Nadhani maisha ya Falsafa niliyoachiwa urithi na Marehemu Padre Privatusi Karugendo ndo yananifanya niwe ivo!
Huyu Mshangazi dot com ni Moja ya watu wachache ambao walinisaidia siku moja nikiwa so down ... Nilipoteza Tumaini la Maisha!
Unajua ni ngumu sana mtu kujali maumivu na hisia Zako ikiwa hakujui wala Hana undugu na wewe? She acted tofauti
Hivyo Mimi ni kama yule msamaria, naukumbuka sana msaada wake wa Ile siku!
Pengine kama si yeye na wengine wachache ningekuwa nimeshachukua maamuzi magumu ya kimaisha ... Mbaya zaidi simjuiii 😂
Hamna haja ya kumfuatilia Kwa kina, unaunganisha dot mbili tatu unampata.Hivi unataka kusema kuwa haiwezekani kumfahamu mtu, kama ukiamua kumfuatilia kwa kina? kisa fake Id?
🤣🤣 Makamu nakusalimiaaaaMkuu sio rahisi wewe uchukue maamuzi ya kipuuzi na sisi majobless wenzako tupo , ila haiombagwi hivyo bwashee 😂
hem unganisha dot kwangu unisome. Let's go practically! 😃Hamna haja ya kumfuatilia Kwa kina, unaunganisha dot mbili tatu unampata.
Ndo wee kwenye hiyo avatar? LolLast year Kuna demu nilionana nae live akaniambia tangu dunia iumbwe hajawahi kuona boy handsome kama mimi sijui alimaanisha nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale ambao kutongozwa tu ni yes, ipo siku utakutana na mzazi au mwanao huko kwenye nyumba za wageni
we mwenyewe unaweza ukawa umejichokea hata sio mshangazi basi tu id inakubebaLeo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.
Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.
View attachment 3257897
Kwa mineno ninayowajibu huku halafu wanijue thubutuu.!! 😹😹Hata mimi mtu akiniuliza kuhusuJF, namwambia sijawahi kuisikia. Huku siyo mahali pa kuwa tunafahamiana kabisa.
Id si unaweza kuwatajia yoyote ili na wewe uwachore 😹😹DAah kwa hiyo yawezekana nilikua nachorwa mimi sijui. Ila katika hiyo research hakuna aliye deal kuuliza username yangu
Atajua yeye 🤣🤣Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.
Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.
View attachment 3257897
Weka dau mezani, Kuna siku nlikuwa nasoma comments za wananzengo nikapata idea flan nikazama Instagram nikaenda kwenye post za yule 'brazayenu' nikasoma comments zote ........Kuna comment Moja ilikua na 155weeks ikanifanya nikamjua mtuhem unganisha dot kwangu unisome. Let's go practically! 😃
Kuna siku nilipost picha selfika kuna jamaa akanifuata inbox ananiambia kumbe ni wewe akataja jina langu la nyumbni kabisa, nikavunga🤣🤣🤣 now namwona kwenye kila comments zangu anacheka tu.Weka dau mezani, Kuna siku nlikuwa nasoma comments za wananzengo nikapata idea flan nikazama Instagram nikaenda kwenye post za yule 'brazayenu' nikasoma comments zote ........Kuna comment Moja ilikua na 155weeks ikanifanya nikamjua mtu
Hapo Sasa inabidi baadhi ya mafaili uyawekeee password mapemaKuna siku nilipost picha selfika kuna jamaa akanifuata inbox ananiambia kumbe ni wewe akataja jina langu la nyumbni kabisa, nikavunga🤣🤣🤣 now namwona kwenye kila comments zangu anacheka tu.
Mkuu sio mimi wife hana jf app kwenye simu yake na hajui kuna mtandao unaitwa jf.Kuna story ya Nikifa MkeWangu Asiolewe kama sijakosea!
It was so interesting kwangu!
Kwamba Kuna mtu humu jf alikuwa anabishana nae sana mwisho wa siku akajua huyo mtu ni mkewe 😂
Nikifa MkeWangu Asiolewe samahani Mkuu kama ntakuwa nimekuchanganya
Kwa nini kaka?Hapo Sasa inabidi baadhi ya mafaili uyawekeee password mapema
"brazayetu" 🤔Weka dau mezani, Kuna siku nlikuwa nasoma comments za wananzengo nikapata idea flan nikazama Instagram nikaenda kwenye post za yule 'brazayenu' nikasoma comments zote ........Kuna comment Moja ilikua na 155weeks ikanifanya nikamjua mtu