ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

Wee nani alikuambia
 
Kwani we mshangazi una age ngapi, manake umejiunga long sana..kama upo late 30s au early 40s huyo mwamba anakuweka vizuri, hata kukuoa kabisa 🤣
Sitafuti wa kunioa, mi napenda hawa vijana niliowazidi umri, wanapeleka moto bila kuchoka. Yani mzee anaelekea 60, anipumulie juu juu mwishowe anifie kwa sababu nimemsusia mkia🍑, NO 😎
 
Hii ndiyo ilinifanya nifunge PM yangu, nilichat na mtu humu namuona wa kawaida akasema ana miaka 57, nikashtuka maana yule ni baba na babu wa familia kabisa 😂 .
Dah kwahiyo Sisi age go mnatuchukuliaje😄kwamba hatufai kuchati nanyi
 
Hehehehehehehehehehehehehehehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…