Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Ndio, mimi ndimi.Ndo wee kwenye hiyo avatar? Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, mimi ndimi.Ndo wee kwenye hiyo avatar? Lol
Wee nani alikuambiaLeo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.
Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.
View attachment 3257897
Kuna mitazamo, misimamo na baadhi ya vitu confidential ambayo katika jamii huwezi kuviongelea Kwa uwazi sana huku unaweza fungukaKwa nini kaka?
Niwatajie ID ya Kidukulilo waanze kuniona mpuuzi mmoja😂😂Id si unaweza kuwatajia yoyote ili na wewe uwachore 😹😹
Sitafuti wa kunioa, mi napenda hawa vijana niliowazidi umri, wanapeleka moto bila kuchoka. Yani mzee anaelekea 60, anipumulie juu juu mwishowe anifie kwa sababu nimemsusia mkia🍑, NO 😎Kwani we mshangazi una age ngapi, manake umejiunga long sana..kama upo late 30s au early 40s huyo mwamba anakuweka vizuri, hata kukuoa kabisa 🤣
Dah kwahiyo Sisi age go mnatuchukuliaje😄kwamba hatufai kuchati nanyiHii ndiyo ilinifanya nifunge PM yangu, nilichat na mtu humu namuona wa kawaida akasema ana miaka 57, nikashtuka maana yule ni baba na babu wa familia kabisa 😂 .
HeheheheheheheheheheheheheheheheYani kama ni wewe nitafurahije, ila sijui nitaficha wapi sura yangu.
Ulidhani dada yako wa heshima, mcha Mungu, mama wa familia, kumbe kuna majukwaa naandika kuhusu raundi za mapenzi na namna ya kuliomba tendo bila kusema neno 😂 🤣 .
Itakua kasheshe sana!
Muongo wee!Ndio, mimi ndimi.