Idadi kubwa ya Waislam (99%) inaweza kuwa kikwazo cha Uturuki kutokuwa mwanachama rasmi wa EU?

Idadi kubwa ya Waislam (99%) inaweza kuwa kikwazo cha Uturuki kutokuwa mwanachama rasmi wa EU?

Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Sawa mkuu, ndio maana nchi nyingi za kiislamu hazina Rais mwanamke. Au sio mkuu?...
 
Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Kwa muda mrefu Uturuki imekuwa ikitaka kujiunga na huu umoja ila sharti lilikuwa ni kurekebisha sheria zake ili ziendane na zile za umoja wa Ulaya.
Ila kuna hoja iko hapa, members wa EU wana uhuru wa free movement kwa wananchi wa nchi husika, ukimruhusu Turkey kuwa mwanachama, waarabu wanavyopenda Ulaya watakuwa wamepata daraja, hivyo lazima ipigwe spana kwanza.
Mkuu, kwani waturuki ni waarabu?
 
Albania*, Andorra, Armenia, Azerbaijan, Belarus, Bosnia, and Herzegovina*, Georgia, Iceland, Kosovo*, Liechtenstein, Moldova, Monaco, Montenegro*, North Macedonia*, Norway, Russia, San Marino, Serbia*, Switzerland, Turkey*, Ukraine
-
United Kingdom (left EU on January 31, 2020), Vatican City.

Ukitizama haya mataifa utagundua kuna vigezo kadhaa vina-miss. Vingi ni umoja wa kitaifa, uwezo kiuchumi na sheria zake, pia ukiangalia mataifa tajwa utaona imani inaweza kuwa kikwazo kama alivyotanabaisha Infantry Soldier. Zenye * ndizo ziliomba na ** hazijafikia vigezo.

Uswissi alishaweka wazi zamani sana afungamani na upande wowote! Ndio chanzo cha kutojihusisha na yeyote isipokuwa muasisi wa Red Cross.
 
Albania*, Andorra, Armenia, Azerbaijan, Belarus, Bosnia, and Herzegovina*, Georgia, Iceland, Kosovo*, Liechtenstein, Moldova, Monaco, Montenegro*, North Macedonia*, Norway, Russia
Samahani kidogo mkuu, mbona umewataja RUSSIA katika mada hii ya wanachama wa EU na NATO?...
 
Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Kwa muda mrefu Uturuki imekuwa ikitaka kujiunga na huu umoja ila sharti lilikuwa ni kurekebisha sheria zake ili ziendane na zile za umoja wa Ulaya.
Ila kuna hoja iko hapa, members wa EU wana uhuru wa free movement kwa wananchi wa nchi husika, ukimruhusu Turkey kuwa mwanachama, waarabu wanavyopenda Ulaya watakuwa wamepata daraja, hivyo lazima ipigwe spana kwanza.
Umeandik vuzur ila waturuki sio waarabu mkuu.
 
Back
Top Bottom