Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #41
Sawa mkuu, ndio maana nchi nyingi za kiislamu hazina Rais mwanamke. Au sio mkuu?...Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Mkuu, kwani waturuki ni waarabu?Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Kwa muda mrefu Uturuki imekuwa ikitaka kujiunga na huu umoja ila sharti lilikuwa ni kurekebisha sheria zake ili ziendane na zile za umoja wa Ulaya.
Ila kuna hoja iko hapa, members wa EU wana uhuru wa free movement kwa wananchi wa nchi husika, ukimruhusu Turkey kuwa mwanachama, waarabu wanavyopenda Ulaya watakuwa wamepata daraja, hivyo lazima ipigwe spana kwanza.
Sio arabsMkuu, kwani waturuki ni waarabu?
Lakini Western Turkey mpaka na Syria kuna Arabs Turk naSio arabs
Ndio mkuuLakini Western Turkey mpaka na Syria kuna Arabs Turk na
Hili ninalijua tangia zamani. Pia ninashukuru kwa kunikumbushaUkweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Saudi Arabia Rais wao ni mwanamke mbonaSawa mkuu, ndio maana nchi nyingi za kiislamu hazina Rais mwanamke. Au sio mkuu?...
Punguza uongo basi mzee babaSaudi Arabia Rais wao ni mwanamke mbona
Sawa dogoHili ninalijua tangia zamani. Pia ninashukuru kwa kunikumbusha
AsanteNdio mkuu
Samahani kidogo mkuu, mbona umewataja RUSSIA katika mada hii ya wanachama wa EU na NATO?...Albania*, Andorra, Armenia, Azerbaijan, Belarus, Bosnia, and Herzegovina*, Georgia, Iceland, Kosovo*, Liechtenstein, Moldova, Monaco, Montenegro*, North Macedonia*, Norway, Russia
Nimeiweka Russia kwa muktadha wa EU. Urusi sio EU bali ni taifa lenye ushirika mzuri na EU.Samahani kidogo mkuu, mbona umewataja RUSSIA katika mada hii ya wanachama wa EU na NATO?...
EU na NATO ni kama mtoto wa mama mdogo na mama mkubwaSamahani kidogo mkuu, mbona umewataja RUSSIA katika mada hii ya wanachama wa EU na NATO?...
Okay mkuuNimeiweka Russia kwa muktadha wa EU. Urusi sio EU bali ni taifa lenye ushirika mzuri na EU.
Vp interview yako dogo? Ulifanikiwa kupata kazi?Okay mkuu
Nimemuuliza mara kadhaa ila anakataa kujibu hilo swaliVp interview yako dogo? Ulifanikiwa kupata kazi?
Umeandik vuzur ila waturuki sio waarabu mkuu.Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Kwa muda mrefu Uturuki imekuwa ikitaka kujiunga na huu umoja ila sharti lilikuwa ni kurekebisha sheria zake ili ziendane na zile za umoja wa Ulaya.
Ila kuna hoja iko hapa, members wa EU wana uhuru wa free movement kwa wananchi wa nchi husika, ukimruhusu Turkey kuwa mwanachama, waarabu wanavyopenda Ulaya watakuwa wamepata daraja, hivyo lazima ipigwe spana kwanza.
Waturuki ni waarabu purely. Dada yangu ameolewa huko ujueUmeandik vuzur ila waturuki sio waarabu mkuu.
Duuuu!!!! Kwa vile sista kaolewa huko sioWaturuki ni waarabu purely. Dada yangu ameolewa huko ujue