Idadi ya Nguruwe yaongezeka nchini

Oya hiyo kitu sio poa kabisa [emoji39][emoji39][emoji39]
Kuna jamaa ni Mwislamu alileta kitimoto nusu geto ikabidi nitoke nikaongeze jumla ikawa kilo 2.
Tulikula hadi kujilamba afu nakumbuka hy siku ilikuwa Ijumaa.
Mimi Kuna kijana namjua muislamu alikuwa anakula sana hio kitu.

Tulikuwa tunamwambia we si muislamu anasema bhanaaa eeeh!! Acha Nile tu.

Ila siku kawa ustaadh swala Tano na sigda anayo[emoji1787][emoji1787]
 
Oya hiyo kitu sio poa kabisa [emoji39][emoji39][emoji39]
Kuna jamaa ni Mwislamu alileta kitimoto nusu geto ikabidi nitoke nikaongeze jumla ikawa kilo 2.
Tulikula hadi kujilamba afu nakumbuka hy siku ilikuwa Ijumaa.
Hahahaa mi simo
 
Mimi Kuna kijana namjua muislamu alikuwa anakula sana hio kitu.

Tulikuwa tunamwambia we si muislamu anasema bhanaaa eeeh!! Acha Nile tu.

Ila siku kawa ustaadh swala Tano na sigda anayo[emoji1787][emoji1787]
Sigda ndio nn!?
 
Mimi Kuna kijana namjua muislamu alikuwa anakula sana hio kitu.

Tulikuwa tunamwambia we si muislamu anasema bhanaaa eeeh!! Acha Nile tu.

Ila siku kawa ustaadh swala Tano na sigda anayo[emoji1787][emoji1787]
Haina mwenyewe hiyo.
 
Waziri Abdallah Ulega amesema idadi ya Nguruwe "kitimoto" imeongezeka kwa mwaka 2022/2023 kutoka Nguruwe Milioni Tatu na Laki Nne(3.4M) hadi Nguruwe MilioniTatu na Laki Saba(3.7M).
Pongezi ziende kwa Waziri muislamu Abdallah Ulega kwa kusimamia vizuri wizara kuhakikisha ufugaji wa nguruwe unaongezeka
 
Dah natokwa na mate tayari, basi wasushe bei ya kilo jamani.
 
Oya hiyo kitu sio poa kabisa πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Kuna jamaa ni Mwislamu alileta kitimoto nusu geto ikabidi nitoke nikaongeze jumla ikawa kilo 2.
Tulikula hadi kujilamba afu nakumbuka hy siku ilikuwa Ijumaa.
Uchokozi tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cc wazee wa kula hii makitu kwa kujificha.

hydroxo Ami Kikwajuni One inamankusweke Elungata ielewemitaa Gavana The Icebreaker
 
Tatizo la hiyo nyama, ukinunua kilo 2 unakula kilo 1, nyingine unatupa Kwa sababu ya wingi wa mafuta
 
Hamuoni huyo mnyama kuwa ni mchafu sana na ananuka.Kwanini mnakula wakati kitoweo safi na halali kama mbuzi na ng'ombe wamejaa.
Na kwanini mnapenda kupingana na amri za Mungu anayewapa uhai na ndiye aliyekataza huyo mdudu.
cc:Mkwepu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…