ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Hapana mimi situmii huyo mdudu, na hata nikitumia nitakuwa mkosaji kama wengineCc wazee wa kula hii makitu kwa kujificha.
hydroxo Ami Kikwajuni One inamankusweke Elungata ielewemitaa Gavana The Icebreaker
Alicho kiongea jamaa 🤣Mkuu fafanua; uongo ni upi na umbea ni upi?
Kwamba!!Alicho kiongea jamaa 🤣
Norway wapo?Good news
Mnapeenda kujipa moyo.. waislam wakila nguruwe nyi inawasaidia nini!?Cc wazee wa kula hii makitu kwa kujificha.
hydroxo Ami Kikwajuni One inamankusweke Elungata ielewemitaa Gavana The Icebreaker
Tulia weweeMnapeenda kujipa moyo.. waislam wakila nguruwe nyi inawasaidia nini!?
Kwa takwimu hizo nguruwe mmoja kwa kilo za chini huwa na kilo 40.Kwa.nguruwe hao milioni tatu na laki saba wakichinjwa ni sawa na kilo 148,000,000 jumla ya watanzania tuko milioni 60
Wakichinjwa kila mtanzania akiwemo waziri mhusika na mifugo atapata nyama ya nguruwe kilo mbili na nusu.Si haba.
Mambo ya Mibs haya 🤣🤣🤣 idadi, hii imetokana na wenzetu kutotumia kwa siku 30
Wamewahesabuje wakajua wako mil 3 na laki 7.mbona sijaona MTU aje kuhesabu WA kwangu.Leo wakati nafuatilia Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi 2023/2024 Waziri Abdallah Ulega amesema idadi ya Nguruwe "kitimoto" imeongezeka kwa mwaka 2022/2023 kutoka Nguruwe Milioni Tatu na Laki Nne(3.4M) hadi Nguruwe MilioniTatu na Laki Saba(3.7M).
Hii ni habari nzuri kwa walaji wa kitoweo hicho maarufu kama "Kitimoto" "Mdudu" ambacho kimekua kikipendwa na watu mbali mbali hapa nchini bila kuchagua rika,kabila wala dini.
View attachment 2607474View attachment 2607475
Ha ha ha mbavu zangu umenichekesha nilikuwa na issues kichwani nimecheka ghafla mpaka naulizwa unacheka nini wakati ulikuwa umetununia na una hasira kwenye kikaoTukisema tuwatoe waislam na wasabato kwenye mgao kila mtu atapata kilo 5,halafu atamkaribisha muislam mmoja au msabato mmoja anayetumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Habari njema sana hiiLeo wakati nafuatilia Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi 2023/2024 Waziri Abdallah Ulega amesema idadi ya Nguruwe "kitimoto" imeongezeka kwa mwaka 2022/2023 kutoka Nguruwe Milioni Tatu na Laki Nne(3.4M) hadi Nguruwe MilioniTatu na Laki Saba(3.7M).
Hii ni habari nzuri kwa walaji wa kitoweo hicho maarufu kama "Kitimoto" "Mdudu" ambacho kimekua kikipendwa na watu mbali mbali hapa nchini bila kuchagua rika,kabila wala dini.
View attachment 2607474View attachment 2607475
Kesho gazeti lolote likitaka kuuza nakala nyingi liandike ukurasa wa mbele luwa wananchi wengi wafurahia taarifa ya kuongezeka kwa mifugo ya nguruwe nchini iliyotolewa na waziri wa mifugo bungeniH
Habari njema sana hii