Idadi ya Nguruwe yaongezeka nchini

Mduduu hoyee!!!! Jinsi wanavyokupinga kwa propaganda za kijinga, mara una minyoo inayoingia kwenye ubongo, mara nyama yako ukiweka limao minyoo inazaliwa , Ndivyo mwamba unavyozidi kuongezeka hapa nchi Takatifu ikimasha kuwa unaendelea kupata marafiki wengi hata wale waliodanganywa na Mila na vitabu vya kizamani kuwa wewe hufai Wana jisonsomoa iwe kwa wazi au kwa Siri baada ya kuona wanaokula haeagi Bali Wana afya tele
 
Legendary nguruwe ulikataliwa na wazee wa kobazi kisa ulifukua kabuli na kula pua ya mtu flani huko Maka......
 
Subhanallah
 
kuna siku nilikua apa majani mapana duka la mchaga karibu na msikitini zilipitishwa nguruwe mbili na huniao spidi sana nafikiri kuna shehe alitusaliti
 
Kuna haja ya kukiweka hichi kiumbe kwenye kundi la wanyama walio hatarini kutoweka maana wanaliwa kwa fujo, sensa ya mwaka 2021 walikuwa 3.2, nguruwe anazaa mara mbili kwa mwaka na anazaa sio chini ya watoto wa 5 hadi 12, tuchukulie idadi ndogo ya majike 500,000 kila moja likazaa watoto wa 5 mara 2 kwa mwaka ni nguruwe 5mil.
 

Mafanikio makubwa sana haya ya Rais Samia,
 
Ila akizidisha mafuta anakinai..
 
Hizi taarifa amezipataje, data zinamashaka sana.

Anaelewa kwa wastani kila siku kitimotoz wangapi wanachinjwa?

Hawa si wiki tu wameisha, lakin haijawahi kuadimika hii kitu.

Au ndii maana huzushia magonjwa ila spidi ipungue wazaliane kwanza [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…