Idadi ya Taasisi za Kimataifa zilizohudhuria Mkutano Mkuu wa Chadema inatisha, Ni rekodi

Idadi ya Taasisi za Kimataifa zilizohudhuria Mkutano Mkuu wa Chadema inatisha, Ni rekodi

Ni kweli, Japo utafiti wetu unaonyesha kwamba 80% ya Waislam si wanachama wa Bakwata, ila wanaheshimu tu Uislam wao akiwemo Issah Ponda


..lakini Chadema inahitaji kura za kila Mtanzania.

..chaguzi sio rahisi hivyo kwa Chadema kiasi cha kuona wafuasi wa Bakwata ni kura kiduchu.
 
..lakini Chadema inahitaji kura za kila Mtanzania.

..chaguzi sio rahisi hivyo kwa Chadema kiasi cha kuona wafuasi wa Bakwata ni kura kiduchu.
Nakubali hilo, tushaanza kupandikiza Mashehe wetu Bakwata ( usimwambie mtu)
 
Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.

Ushahidi huu hapa

View attachment 3209362

Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Kuna watu hawataki kukubali Mbowe na team yake walifanya kazi kubwa kuifikisha chadema ilipo.
 
..lakini Bakwata ina wapigakura ambao Chadema lazima iwafikie na kuwashawishi.

..historia ya kuanzishwa kwa Bakwata isiwe kikwazo kwa Chadema kujaribu kuwafikia wafuasi wao.

..pia mienendo ya viongozi wa Bakwata isiwazuie Chadema kuwafikia viongozi hao.
Kiukweli waislamu wengi hawaikubali Bakwata.

Amandla...
 
Ni standard norm hata kule walishiriki

But ni normal kule ndio maana huoni ikiwa promoted

Hata uzinduzi tu wa mbegu bora za samaki huwa wanajazana
Nyumbu ni washamba na malimbukeni wasiojielewa......Kila kitu yenyewe yanajaribu kujilinganisha na kule wakati ukweli ni kuwa wamezidiwa mara zaidi ya 1000..
 
Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.

Ushahidi huu hapa

View attachment 3209362

Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Hehe ila mwisho wa siku hawataapisha mtu wa huko aingie Ikulu zaidi wawaandalie makazi mema huko kwenye nchi zao
 
hawakualikwa
Uapisho wa Trump hakuan hata kiongozi mmoja kutoka nje.

Chadema wana fadhiliwa na hawo nawo ndio waliofadhili na hawo watu Lissu.
Mnasema mama kauza nchi subirini Lissu aje kufanya yake akishinda.
Labda ashinde ubeligiji
 
Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.

Ushahidi huu hapa

View attachment 3209362

Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Kule Dom mambo yalikuwa tofauti kabisa waalikwa kwa asilimia 90 walikuwa chawa, kunguni, papasi, viroboto na wajingawajinga wengine kibao
 
hawakualikwa
Uapisho wa Trump hakuan hata kiongozi mmoja kutoka nje.

Chadema wana fadhiliwa na hawo nawo ndio waliofadhili na hawo watu Lissu.
Mnasema mama kauza nchi subirini Lissu aje kufanya yake akishinda.
Ccm imeuza sana rasilimali za Nchi
 
Bavicha bwana.

Yaani ukiona tu mzungu unalegea mwili mzima.

Karibu CCM huko utakutana nao kila mara wala hutaona ajabu tena.
 
Bavicha bwana.

Yaani ukiona tu mzungu unalegea mwili mzima.

Karibu CCM huko utakutana nao kila mara wala hutaona ajabu tena.
19 jan walikuwepo Dodoma? Wazungu hawawezi kuhudhuria kwenye maigiza yale ya Futuhi
 
Sisi tulifanya kizalendo zaidi..
Tulialika Wabongo Movie na Wabongo Fleva..
Kwanza watanzania wanyonge wakishiba Dona na Dagaa lao, husikiliza akina Zuchu na kuangalia Juakali.. mambo ya uzungu uzungu hawana...
 
Back
Top Bottom