4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nani alisha kataa ilo, wapi umesikia kwamba hajafanya kituKuna watu hawataki kukubali Mbowe na team yake walifanya kazi kubwa kuifikisha chadema ilipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alisha kataa ilo, wapi umesikia kwamba hajafanya kituKuna watu hawataki kukubali Mbowe na team yake walifanya kazi kubwa kuifikisha chadema ilipo.
Alafu wachepukaji waliishia kuchepuka na wachepukaji wenzao kama wapo kwenye mashindanoYa CCM Sasa Wasanii wa Bongo flavour, Singeli, Kigodoro, Mdumange na Kibabage wakiwakilishwa na Kiongozi wao mashuhuri aliyevaa Dera lenye ujumbe MCHEPUKO SIYO DILI BAKI NJIA KUU naye ni LUCAS MWANSHAMBAA na kilemba cha rangi ya Njano kama Siagi
💪🏿👌🏿💗❤💗❤👌🏿❤❤CCM wajifunze kwetu View attachment 3209554
Swali lako ni la kijingaKwani hao nd wapiga kura wa uchaguz Mkuu?
Noma kweli yaani!
Hata wew umefanana na suala langu, wew na suala langu wote ni wajinga.Swali lako ni la kijinga
Nimetafuta picha sijaziona naendelea kutafuta.Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
View attachment 3209362
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Kwa sababu chadema ni chama kinadai kinafuata demokrasia ya kiliberali. Wamagharibi wanatarajia chadema kiwaondoe ccm iliyokua ya kimapinduzi na kijamaa madarakani.Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
View attachment 3209362
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Kuna baadhi ya wagombea wametuaibisha sana walivyojibu maswali.Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
View attachment 3209362
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Agiza nakuja kulipa.Kuna baadhi ya wagonbea wametuaibisha sana walivyojibu maswali.
Mfano, kuna mgonbea mmoja wa uMakamu Mwenyekiti Zanzibar aliulizwa falsafa ya CHADEMA ni nini? Akajibu kwa confidence zote "Stronger Together".
Mtu anataka kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hajui tofauti ya falsafa na slogan.
Ila, kiujumka, CHADEMA imetia somo kubwa sana kuonesha jinsi uchaguzi wa kidemokrasia unavyitakuwa juwa, tofauti na upande wa piki ambapo fomu ni moja tu, tena kwa kuvunja katiba.
Kwa hilo, overall, wametuheshimisha sana.
Chupa mbili za Tonic Water tu mkuu. Mimi sina mambo mengi 😂😂😂Agiza nakuja kulipa.
✌️Nakubali hilo, tushaanza kupandikiza Mashehe wetu Bakwata ( usimwambie mtu)