Don Masanja
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 273
- 251
Wazungu sio wanafiki19 jan walikuwepo Dodoma? Wazungu hawawezi kuhudhuria kwenye maigiza yale ya Futuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu sio wanafiki19 jan walikuwepo Dodoma? Wazungu hawawezi kuhudhuria kwenye maigiza yale ya Futuhi
Kwa trend ya huku chawa wamekua kilq chama na sasa wameenea hwdi ofisi za umma , binafsi na hata nyumba za ibadaKule Dom mambo yalikuwa tofauti kabisa waalikwa kwa asilimia 90 walikuwa chawa, kunguni, papasi, viroboto na wajingawajinga wengine kibao
Kiukweli waislamu wengi hawaikubali Bakwata.
Amandla...
19 jan walikuwepo Dodoma? Wazungu hawawezi kuhudhuria kwenye maigiza yale ya Futuhi
Kwa trend ya huku chawa wamekua kilq chama na sasa wameenea hwdi ofisi za umma , binafsi na hata nyumba za ibada
😂😂😂Sisi tulifanya kizalendo zaidi..
Tulialika Wabongo Movie na Wabongo Fleva..
Kwanza watanzania wanyonge wakishiba Dona na Dagaa lao, husikiliza akina Zuchu na kuangalia Juakali.. mambo ya uzungu uzungu hawana...
Bakwata ni tawi la ccm..viongozi gani wa Dini wamehudhuria mkutano.
..upande wa Ccm nilimuona mpaka Mufti wa Bakwata amehudhuria.
We ni Dr kweli au mganga wa mitishamba?Nyumbu ni washamba na malimbukeni wasiojielewa......Kila kitu yenyewe yanajaribu kujilinganisha na kule wakati ukweli ni kuwa wamezidiwa mara zaidi ya 1000..
Sheikh Ponda anatosha..Ni kweli.
..lakini Bakwata wako maeneo mengi sana ya nchi yetu.
..nadhani ni busara Chadema kuwafikia wafuasi wa Bakwata hata kama ni wachache.
..sio sahihi kuwaachia Ccm watambe nao jinsi wanavyotaka.
CCM wajifunze kwetuHili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
View attachment 3209362
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Hawa ndio waliotoa mpunga kufanikisha mkutano huu na hapo wanakusudia Lissu ashinde.Unataka kusemaje mkuu..? Utasikia vibaraka wa mabeberu
Chadema ni chama kikubwa sana na kinafuatiliwa ulimwenguni kote.Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
View attachment 3209362
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .
Very stupid
Manara alikuepoHili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
View attachment 3209362
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria Uteuzi wa Wassira .