Mimi naunga mkono idadi ipungue kila wilaya iwe na mbunge mmoja tu. Dar ina wilaya tano lakini ina wabunge 9 hao 4 waliozidi ni hasara tupu na hakuna tija yoyote tuliyo ipata kwa kuongeza wingi wa wabunge. Viti maalumu pia vufutwe watu wagombee majimboni. Huu ujinga wa kugawa wilaya eti mashariki na magharibi au kusini na kaskazini ni ujinga mtupu! Mbona mkuu wa wilaya anakuwa mmoja wilaya nzima na mambo yanakwenda? Hao waliozidi ni wa kuchota na kutupilia nje!
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
THapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Tuligawa majimbo kutafutiana kazi, kweli chukulia Ukonga na Segerea, Kawe na Kinondoni, Ilemela na Nyamagana, Sengerema na Buchosa, Temeke na Mbagala etc etc,
Ni kutafutiana kazi kwa gharama ya taifa.
Asante
Naona hapo unamtafuta maneno jiweHilo wazo zuri sana na mm ningeshauri tuwe na wabunge wawakilishi wa kanda na ikiwezekana iwe hivi wabunge 20 toka Kaskazini,20toka Kusini,20 Kanda ya ziwa,20 kanda ya kati na 20 kanda ya Pwani pamoja wawakilishi wa visiwa vyetu Jumla 100 na baraza la mawaziri liziwe zaidi ya mawaziri 20 na ikiwezekana wafute kabisa vyeo wa RC na DC
Tutaokoa hela nyingi sana na uwakilishi utakuwa na tija kwa taifa
Na hivi hawasikilizwi kwenye kutoa ushauri, WANAKULA VYA BURE, waondolewe tuMawaziri na washauri wa Rais ndio wangepunguzwa ...hawana lolote wanalofanya zaidi ya kutumbua hela za walipa kodi
Uzi wake ni mzuri, ila jambo la kushangaza ni pale alipoanza kuja na hoja za kusema kuwa ''Itatumika kama jaribio la kuzima wingu la wabunge wa upinzani kwenye uchaguzi mkuu''., Huoni kuwa kaingiza ushabiki usio na tija katika uzi wake?Naona akili yako ndiyo imekaa kipashukuna pashukuna Zaidi
In God we Trust
Waanze kuwaondoa wanaoitwa "Wabunge wa viti maalum" inamaana wanawakilisha viti maalum au wananchi? Watolewe kwakuwa hakuna wanaowawakilisha.
Pili kusiwepo na wakuu wa wilaya as long as kuna Wabunge, Wakurugenzi watendaji na pia kuna makatibu tawala mkoa na wakuu wa mikoa pia.
Utumiaji mbaya wa pesa za walipa kodi kulipa mishahara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Viti maalumu vimejaa baba na binti, mume na mke, mtu na mchepuko n.k., waanze na hivyo kwanza
Hilo wazo zuri sana na mm ningeshauri tuwe na wabunge wawakilishi wa kanda na ikiwezekana iwe hivi wabunge 20 toka Kaskazini,20toka Kusini,20 Kanda ya ziwa,20 kanda ya kati na 20 kanda ya Pwani pamoja wawakilishi wa visiwa vyetu Jumla 100 na baraza la mawaziri liziwe zaidi ya mawaziri 20 na ikiwezekana wafute kabisa vyeo wa RC na DC
Tutaokoa hela nyingi sana na uwakilishi utakuwa na tija kwa taifa
Tuligawa majimbo kutafutiana kazi, kweli chukulia Ukonga na Segerea, Kawe na Kinondoni, Ilemela na Nyamagana, Sengerema na Buchosa, Temeke na Mbagala etc etc,
Ni kutafutiana kazi kwa gharama ya taifa.
Asante
Kwenye katiba ya Warioba wananchi tulipendekeza suala hilo na kutilia mkazo & msisitizo suala la wakuu wa mikoa & wilaya, ajabu ilipofika bungeni wazee wa bunge wakapiga chini.Naunga mkono
Hizi nafasi za mkuu wa mkoa na wilaya zingefutwa abakie mbunge...
Wabunge viti maalum hawana umuhimu...
Wabunge wapunguzwe kwa kuonganisha majimbo... Ili kuwepo na wabunge wasiozidi 150...
Hao viti maalum sijaona umuhim wAo wakiwepo bungeni....
Kuna haja gani ya kuwa na wabunge wengi ambao wakati wote wanasusia na kuzomea vikao utadhani wabeba lumbesa wa shimoni Kariakoo,wacha wapunguzwe hakuna kazi yoyote wanayofanyaKatika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Hii inaonyesha usivyo na imani na Rais wetu. Ikiwa umeshauri hivyo basi umeona mapungufu yake. Kwanini usingeshauri asigombee tena, kamti kuu ccm watafute mwingine.Mawaziri na washauri wa Rais ndio wangepunguzwa ...hawana lolote wanalofanya zaidi ya kutumbua hela za walipa kodi
Hii inaonyesha usivyo na imani na Rais wetu. Ikiwa umeshauri hivyo basi umeona mapungufu yake. Kwanini usingeshauri asigombee tena, kamti kuu ccm watafute mwingine.
Ndiyo, mimi ni moja ya washauri wake. Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.Na wewe ni mmoja wa washauri wake kwani?πππππππ
Ndiyo, mimi ni moja ya washauri wake. Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
Asante.Haya bwana kila la kheri.