Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😀😅😍Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena
Ni kweli mkuuHao ni wale tunaowajua. Noma sana, kuoa mdada kawekwa na 10+ mimi naona unaoa kahaba tu yani. Hivi kupata mwenye 5- unahitaji scrutiny ya aina gani.
HahaaaHao ni wale tunaowajua. Noma sana, kuoa mdada kawekwa na 10+ mimi naona unaoa kahaba tu yani. Hivi kupata mwenye 5- unahitaji scrutiny ya aina gani.
Tukileta wa Uwoya Nchi haitatawalikaWanne tu??huyo anajaza jukwaa lote la VIP pale benjamin mkapa
Kuna wakati nikataka kuuliza hili swali(sijui nini kiliniingia kuuliza) ila nikaona nitaumia nafsi ngoja nijikalie kimya manake ukweli ni kuwa walikuwepo...wangapi..hapo ndio sijui🤣🤣🤣Ni kweli mkuu
Mimi kwa upande wangu nikikuta mwanamke sio bikira najua tu tayari huyo ni malaya
Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena
Miaka hii ukisema unaoa ujue unaoa malayaKuna wakati nikataka kuuliza hili swali(sijui nini kiliniingia kuuliza) ila nikaona nitaumia nafsi ngoja nijikalie kimya manake ukweli ni kuwa walikuwepo...wangapi..hapo ndio sijui🤣🤣🤣
Waliohamishia mapenzi kwenye robot waliona mbali
Namba yake niiii T 01 AAAShilole ni mlupo
Inamaana hawa wote wana kasoro shilole hana? It time jamii iseme ukweli, she is for the streets