Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona unafurahia kutumia forum na mitandao mingine ya makafiri.Raha sana, hakuna mizengwe wala longolongo.
Ngono kwao siyo dhambi na ni kigezo cha kuongeza Waumini wa dini ya kiislamu.Dini imekaa kingono ngono sana...
Bila Algorithm hata hiyo simu unayoitumia usingekuwa nayo leo hii.Nakuona unafurahia kutumia forum na mitandao mingine ya makafiri.
kumbe muajemi nilidhani muarabu.Hao wengi wanajitambua japo utawala wao ni wa kiitikadi lkn tunaona jinsi wanavyothubutu kupinga utawala wa kigaidi na wengi walisherehekea siku ile kikiwemo kitukuu cha Algorithm.Bila Algorithm hata hiyo simu unayoitumia usingekuwa nayo leo hii.
Unamfahamu "Algorithm"?
Mwenye Algorithm amefanyia nini?Bila Algorithm hata hiyo simu unayoitumia usingekuwa nayo leo hii.
Unamfahamu "Algorithm"?
Nimecheka mpaka nimepaliwa na Konyagi.Hivi hiyu Dada bado anaweza kusema ana sehemu za siri