Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Arusha lakini!Unaweza kuta mleta uzi ni mwanaume
Nimecheka sana.. watu mnaifadhi kumbukumbu aisee
Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena
Wewe si unatoa hizo bikira kwa wake wa wenzio sasa na wako lazima kidume kimtoe tu na utaoa kama wenzio🤣🤣Ni kweli mkuu
Mimi kwa upande wangu nikikuta mwanamke sio bikira najua tu tayari huyo ni malaya
Elewa misingi ya ndoa ya kiislam..usikurupuke sijui rahisi elfu 20..Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena
Mkuu siku hizi watu wana body count za kutosha, kumpata wa 5 & below Ni shughuli pevu sanaHao ni wale tunaowajua. Noma sana, kuoa mdada kawekwa na 10+ mimi naona unaoa kahaba tu yani. Hivi kupata mwenye 5- unahitaji scrutiny ya aina gani.
Mlupo malaya manake. Hii lugha nilisikia mbaliShilole ni mlupo
Huu mchezo hautaki hasira daadeki 🤣🤣Wewe si unatoa hizo bikira kwa wake wa wenzio sasa na wako lazima kidume kimtoe tu na utaoa kama wenzio🤣🤣
Atii?👀Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena
Tatizo nini?
Ni hao tu tangu aanze au umbea wako una mapungufu mahala
Raha sana, hakuna mizengwe wala longolongo.Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena