Wa nyuma ya pazia wako wa ngapi?
Nyuma ya pazia ni tungo Tata, hebu fafanua.Wa nyuma ya pazia wako wa ngapi?
Hongera Sana
Itakuwa zinafanana na wenye akili wazungu wao ni maua tu...hakuna habari za kumuuza binadam.Ndoa za kiislamu ni rahisi sana. Mahari 20,000 na harusi laki 1 inafanyika. Usishangae kesho kutwa anaolewa tena kwa ndoa
Kesho anaacha, anaoa au kuolewa tena
Kwanini mnajiringanisha na makafiri? Wazungu (makafiri) wanaakili sana kuliko waislamu.Itakuwa zinafanana na wenye akili wazungu wao ni maua tu...hakuna habari za kumuuza binadam.
Analika balaa
Shilole ni jamii moja ya wavaa kobasi sio kafiri yule πKwanini mnajiringanisha na makafiri? Wazungu (makafiri) wanaakili sana kuliko waislamu.
Zitakuwa zinafana na ndoa za majini
Cha kushangaza 98% bidhaa au vitu vimetengenezwa na makafiri.Shilole ni jamii moja ya wavaa kobasi sio kafiri yule π