Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

Nimetembea na wanawake enzi hizo.


Lakini miaka ya hivi karibun nimesex na wanawake yaani nimepatwa wanauksi za kufa mtu. Yaani unatoka na mwanamke nux na visirani kama vyote
 
Wewe hujui kutumia hiyo bakora yako,wenzio machampioni wanasemaga hivi"nimenyandua wanawake 150,na wanaume 50".
 
Doohhh!!! Hiv kumbe mi mbinguni naingia njia nyeupe kabisaaa.
@35 in May na bado nikiwakusanya woote nilopita nao, kwenye BAJAJI wanakaa vizuri tu. Halaf kwasasa nilishawakataa nimebaki na Yf tu
 
Kutoka kwa mdau!!

" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri

,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!


Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "

Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni

Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!

Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Sio vita wala sio kipimo cha urijali tengeneza mifumo vumbua vitu badilisha jamii ishi na mke wako mmoja utakua umetisha
 
Back
Top Bottom