Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

Kutoka kwa mdau!!

" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri

,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!


Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "

Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni

Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!

Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Uzuri na wewe unaenda kula kete(mabwana )zote za mkeo mtarajiwa na yeye amekula kete zako zote ... Mbwa kala mbwa....
 
Kutoka kwa mdau!!

" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri

,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!


Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "

Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni

Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!

Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Naisi hatujapishana Sana

Je Kati ya hao asilimia ngapi ulipiga kavu ma wengi ndomu


Mim asilimia 90 nimewala kwa ndomu
 
Hongera Sana. Ni Kweli nyama ni ile ile?
 
Kutoka kwa mdau!!

" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri

,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!


Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "

Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni

Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!

Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "

Mzee haina afya hii utamsumbua tu mke wako mtarajiwa. Hebu jicheki lazima pepo likuingie aitha uote nyoka anataka kukugonga usiku au mjusi anataka kungata sehemu za siri.....
 
miaka ileeeee, nikiwa nimeenda kumpitia jamaa yangu getoni kwake tuwahi discussion ya weekend shule...akiwa yupo bize na kujiandaa, NIKAKAFUMA kadaftari Fulani hivi chini ya kimeza, kukafungua na kuanza kusoma, nakuta ni majina ya wasichana watupu, na mbele ya jina kuna tarehe🧐🧐

sikuelewa maana yake, aliporudi ndani kutoka kunawa nikamuuliza,.....oya vp hichi kidaftari hapa...akashtuka kidogo, kisha akiendelea kujifuta maji na taulo, akaniambia, aaaha, hiyo ni orodha ya Mademu niliopita nao,..huwa napenda tu kunote🧐🧐

alooh!...nilishtuka, maana ilikuwa ni orodha ndefuu sana,....
 
Back
Top Bottom