Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

🤣🤣2000 c ndo ulizaliwa!

Eee yaan tukikutana naassume kama ndo nothing happened, tunaanza upya
2000 nimekuwa wewe?😂

Ujue hata ukitaka kujua hawezi kukuambia ukweli. Atakudanganya ni bora ulivyochagua kutokujua
 
Kwahio una maanisha Dudu yako imetumia pesa ya Crown au prado mana hao wote 90% wametumia hela zako..

Mamba ya outing,gest,pesa ya sabuni eeeh baby Nina njaa baby sina simu eeh..Sio mbaya tunakula mema ya nchi na umbea kwa mbali..

kenge wewe..
 
Kutoka kwa mdau!!

" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri

,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!


Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "

Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni

Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!

Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Hongera
 
100 tu unakuja kupiga makelele humu, ukiona mpaka unakumbuka idadi ujue wewe bado sana!
 
"Nawakumbusha tu kuwa hiyo ni story kutoka kwa mdau siyo kwa mtoa mada"
 
Kutoka kwa mdau!!

" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri

,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!


Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "

Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni

Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!

Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Kumbe wewe bado ni bikira!!
 
Makasiriko yaliyopo kwenye comments😂😂😂

Hongera mwaya mtoa mada ila hakikisha idadi inaongezeka bado ndogo sana
 
Back
Top Bottom