Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya hesabu, tunasubiria majibu. Au unahitaji na graph paper? 🤣Hahahha, username checks out!
2000 nimekuwa wewe?😂🤣🤣2000 c ndo ulizaliwa!
Eee yaan tukikutana naassume kama ndo nothing happened, tunaanza upya
Kwenda zako😏😏😏mimi wawili tu sasa graph paper na calculator za nini jamaniFanya hesabu, tunasubiria majibu. Au unahitaji na graph paper? 🤣
Kwenda zako😏😏😏mimi wawili tu sasa graph paper na calculator za nini jamani
Dah2000 nimekuwa wewe?😂
Aaaah wapi😂😂Dah
Kaheshima kidogo kawepo binti yangu! Mwaka 92 nlikuwa kwenye tume ya Nyalali napita mikoani kukusanya maoni ya watanzania kuhus mambo ya vyama vingi 🤣
😂😂😂Chai 🤣. Nasubiria siku ya mwisho, kila kitu kitawekwa wazi, wakianza kutaja dhambi zako nitakuwa serious kusikiliza 🤣🤣
HongeraKutoka kwa mdau!!
" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri
,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!
Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "
Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni
Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!
Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
🤣🤣🤣We usiaminiAaaah wapi😂😂
Naomba kwene hiyo idadi niondoe tafadhali. nakujua akili zako hukawii kuni-tagSawa acha nianze kuhesabu
Kumbe wewe bado ni bikira!!Kutoka kwa mdau!!
" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri
,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!
Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "
Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni
Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!
Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Unao ugonjwa wa Akili sema haujachanganya!sina gonjwa lolote lile
Yaani uongeze Kilometers halafu ikosekane kwenye mkeka wangu? Tena naanza na wewe nilikuwa nataka kukusahauNaomba kwene hiyo idadi niondoe tafadhali. nakujua akili zako hukawii kuni-tag
Wekw mzigo🤣🤣🤣🤣🪑💺Na “vitombwa” tunaruhusiwa kuweka idadi yetu?