Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
gonjwa la akili analo!!!sina gonjwa lolote lile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gonjwa la akili analo!!!sina gonjwa lolote lile
Na wote uliopita nao hawapo na weww kiroho safi...Kutoka kwa mdau!!
" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri
,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!
Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "
Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni
Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!
Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Hv ukikaaa hv kawaida tu unakumbuka idadi yao?Waooohh, sawa ngoja tusubiri idadi za wengine tusafishe macho.
Namhurumia sana huyo mwanamke aliyekubali kuishi na wewe. Amechagua MTUMBA third class kabisa!!!Kutoka kwa mdau!!
" Umri wangu ni miaka 30...!!! Nmebarikiwa kazi nzuri na maisha mazuri
,,Leo nimependa kushea idadi ya wapenzi ...ambao nimewah kuwa nao
Kwa nyakat tofauti tofauti...na kujihusisha nao kimapenzi!!!
Idadi ninayo ikumbuka...vizuri ni wanawakeee kama mia moja na sita ama na saba hivi "
Ila kwa sasa nmeamua kutulia na ninatalaji kufunga ndoa December mwaka huu!!! Na mdada ambaye tayar anamwangangu tumboni
Nina afya njema sana ..na nina mshukuru sana MUNGU sina gonjwa lolote lile!!!
Nnajua hayawahusu ila . Ndo..hvyo ..ni maisha...na...kila mtu anastory yake "
Umeanza sasa kuingiwa tamaa ya kujua😂😂Hv ukikaaa hv kawaida tu unakumbuka idadi yao?
Scientific Calculator kabisa😂😂Tafuta Calculator kabisa 🤣
Apana sijakwambia utaje.... namaanisha ile kukumbuka tuUmeanza sasa kuingiwa tamaa ya kujua😂😂
Hao sio wanawake mkuu?Mashamba wewe,apo ukute idadi hiyo umechanganya na wale wakuokota ,kwa macheni na uwanja wa fisi
Safi kabisa, fanya hesabu yako tu kwenye scientific calculator 🤣. Kama list ni ndefu calculator itaandika SYNTAX ERROR. Itabidi ujumlishe na Ai 🤣Scientific Calculator kabisa😂😂
Nakumbuka kabisa😂😂ujue mimi niliingiwa na shetani kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza chuo kabisa .Apana sijakwambia utaje.... namaanisha ile kukumbuka tu
Hahahha, username checks out!Safi kabisa, fanya hesabu yako tu kwenye scientific calculator 🤣. Kama list ni ndefu calculator itaandika SYNTAX ERROR. Itabidi ujumlishe na Ai 🤣
Kumbe we newbie kwenye field!Nakumbuka kabisa😂😂ujue mimi niliingiwa na shetani kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza chuo kabisa .
Sasa unajua nilimaliza chuo mwaka gani?😂😂😂😂😂ukute ni 2000 huko.Kumbe we newbie kwenye field!
Sijawahi kaa chini nkawaza na sitakaa yaaan niwaze kaanza Nan kafata Nan huo mda bora nivute bangi
🤣🤣2000 c ndo ulizaliwa!Sasa unajua nilimaliza chuo mwaka gani?😂😂😂😂😂ukute ni 2000 huko.
Ewaaaah, cha msingi umeikuta mengine unaachana nayo