Idadi ya Wasimbe Tanzania ni kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika

Idadi ya Wasimbe Tanzania ni kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Hali nchini Tanzania imekuwa mbaya mno Wasimbe wanaongezeka kila kukicha kwa mujibu wa takwimu zilizofanywa huko Africa Kusini katika kila wanawake 10 wasimbe ni 7.

Bado haijajulikana shida hasa ni nini ila kwa mujibu wa wasimbe hao baadhi wanadai walikosa uaminifu huku wengine wakidai tamaa ya pesa ndio chanzo!

N.B Wasimbe wanaanzia miaka 20-30

Limsimbe wanaanzia miaka 30-40 yaani shindikanaa

Kamsimbe ni miaka 20 kurudi chini! Au jina jingine vidigi digi!

Wale wa 40 kuendelea ni wazee ni nadra sana kukuta wanaolewa na kwa asili yetu sisi waafrica huezi oa bibi wa miaka 40 kuendelea labda ule tunda kimasihara!


=====
NOTE: Msimbe ni mwanaume au mwanamke aliyefikia umri wa kuoa au kuolewa lakini hajaoa au kuolewa
 
Hali nchini Tanzania imekuwa mbaya mno Wasimbe wanaongezeka kila kukicha kwa mujibu wa takwimu zilizofanywa huko Africa Kusini katika kila wanawake 10 wasimbe ni 7.

Bado haijajulikana shida hasa ni nini ila kwa mujibu wa wasimbe hao baadhi wanadai walikosa uaminifu huku wengine wakidai tamaa ya pesa ndio chanzo!
Wewe uajiriwe moja kwa moja ofisi ya Takwimu ya Taifa. Taarifa yako iko OK.
 
Mwanamke asiye na mme au mtalakiwa. Msemo wa kisasa ni single mothers.
Umepatia kidogo ila kuna
Kamsimbe
Msimbe
Limsimbe
Hayo ni maneno ya kibantu mpaka congo hadi malawi wanayatumia!
 
Kwa wasiojua maana ya wasimbe nawajulisha leo na uzi uishie hapa.

Wasimbe ni Wazimbabwe... Sasa inasemekana wanawake wa Zimbabwe wanatorokea Tanzania zaidi kuliko nchi yoyote ya Kiafrika
 
Maana ya msimbe ni ipi?
Msimbe ni mwanamke wa makamo kuanzia miaka 20-30 ambaye ameshazaa, hana mume either amekufa au mtaliki na ambaye sio bikra yaani ameshaliwa tunda kimasihara na hajaolewa hata kama hajazaa! Wewe ni msimbe ila kama upo kwenye range ya hio miaka!
 
Back
Top Bottom