Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatetea Kupanda Kwa Mafutakwani mbunge Joseph Kasheku(PhD ) anasemaje
Kama wasimbe ndo single mothers, hiyo taarifa irudiwe upya.Mwanamke asiye na mme au mtalakiwa. Msemo wa kisasa ni single mothers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wasimbe ndo single mothers, hiyo taarifa irudiwe upya.
Single mothers ni wengi kichiz!! 8/10
🥂🥂🍻Angalia umri wako ujue unaamgukia wapi!
Mwanamke asiye na mme au mtalakiwa. Msemo wa kisasa ni single mothers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe uajiriwe moja kwa moja ofisi ya Takwimu ya Taifa. Taarifa yako iko OK.
Mimi nililisikia kwa mara ya kwanza Sumbanga mwaka 2009 nikiwa field.Neno Msimbe Kwa Mara Ya Kwanza Nililisikia Kasulu Halafu Sikujua Maana Yake, Nilipouliza Nikaambiwa Ni Wanawake Wasio Na Waume
Huyo Wanasema Ameolewa Kwahiyo Siyo MsimbeSalama jabiri ni msimbe au ashavuka usimbe.
MkuuNani kamuoa salamander jabiri!
afadhali alidumu kwenye usimbe mda mrefu alibakiza nishani. Tuu.Huyo Wanasema Ameolewa Kwahiyo Siyo Msimbe