Kwa Kisukuma tunaita nsimbe au nshimbe na uwingi wake ni basimbe au bashimbe.
Kwa kawaida hawa ni wanawake ambao wamechelewa sana kuolewa (mf. Halima Mdee na mkewe Esta Bulaya), wameolewa wakaachika au ni singo maza ambao wapo tu hawana waume. Sifa yao kubwa ni kuwa na misambwanda na kutembea na waume za watu lakini pia wanajulikana kwa roho njema, ukarimu na uchapakazi. Na kwa kuwa jamii inaheshimu sana familia kuongozwa na mwanaume, familia ambayo haina mwanaume hujulikana pia kuwa ni kaya ya jishimbe (yaani familia ambayo mambo yake yanakwenda hovyo hovyo tu sababu inaongozwa na msimbe).
Na mwanaume hawezi kuwa msimbe. Ni Sifa ya wanawake pekee. Mwanaume ambaye amechelewa kuoa huitwa nkūlīji