Idadi ya watu wanaonuka midomo inaongezeka kwa kasi Tanzania

Idadi ya watu wanaonuka midomo inaongezeka kwa kasi Tanzania

Siyo kunuka midomo tu!

Na MAKWAPA YANANUKA
sielewi watanzania wanatatizo gani
Kunuka vikwapa wakerewe na watu wa Bunda hawana mpinzani. Ukianza na yule mcheza shoo ya mauno aliyetuaminisha ni mzalendo wa kweli kumbe mwizi.
 
Shida ipo kwenye usafi na ulaji. Matumizi ya matunda na maji ya kutosha pia kusafisha kinywa mara kwa mara huondoa harufu mbaya ya kinywa.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]..
Kuongezeka kwa joto kunamchango mkubwaaaa sana,
Kipindi hikii kuna mrundikano wa stress..
Hizi stress hutoa kemikali ya eugenol ambayo husambaa mwilini na kuzalisha halufu mbaya ktk mwili wa binadamu,.

Kula vyakula vyenye kuzalisha kemikali ya procreates ili kupunguza hz kemikali za eugenol.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mtu akifungua mdomo aongee kidogo utadhani amekula kipisi cha nnya kudadadeki [emoji23][emoji23]

Kiukweli elimu ya afya ya kunywa haitolewi kabisa na Hawa dentists hawana hata kampeni za kusaidia watu kuwakumbusha check-up za mara kwa Mara, kuangalia fizi Kama zipo salama, meno, usafi wa koo nk.

Unajua kunywa kutoa harufu kali inaweza kuwa tatizo sio kinywani Bali kwenye Koo au magonjwa ya tumboni au kwenye mfumo wa kupumua daktari wa kinywa anaweza kukuambia hii harufu haitoki kwenye kinywa akakushauri umuone daktari wa Koo nk.

Lakini binafsi nimeshuhudia watu anakaa na mswaki miaka mitano mpaka unajikunja na Bristol's hazisugui meno vizuri kwenye gaps Ila anao tu na Hana mpango wa kubadilisha mpaka ausahau akisafiri ndio atanunua mpya huko.

Mswaki ukipita miezi minne Hadi sita utupe no matter how mzima unaonekana otherwise Kama unaweza uchemshe na maji Moto plus kuulaza kwenye special dawa ya kuua wadudu hapo waweza kukaa nao zaidi napo kama haujaanza kujikunja.

Otherwise tupa tu kwani mswaki shilingi ngapi jamani? Tena hii mingine Mia tano sijui the cheapest au hata Kama umenunua 6000 au 10,000 Ile ya umeme bado haikufanyi ukae nao Kama ndio utazaa mswaki mwingine.
Upo sahihi...mimi nahisi harufu kali sana kooni kwangu...Naloose confidence aisee sijui nifanyeje

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kabla sijacomment, je ni namna gani mtu atajijua anatoa harufu mbaya ya kinywa? Wengine hawajui/sijijui harufu wanayoisikia wenzangu ni nzuri au mbaya, tufanyaje tujue harufu zetu?
 
NDUGU ZANGU ISHU SIYO KUSUGUA MENO PEKEE,80% YA HARUFU YA MDOMO IPO KATIKA ULIMI,ULIMI NDIYO UNAONUKA NA SI MENO.
UKITAKA KUAMINI HILI HEBU IKIFIKA USIKU WAKATI WA KULALA CHUKUA MSWAKI WEKA DAWA KISHA SUGUA MENO NJE NA NDANI KISHA MALIZIA KWA KUUSUGUA TARATIBU UKIMI NA WAKATI UKISUGUA USIHOFIE ILE KAMA KUTAKA KUTAPIKA,ENDELEA KUUSUGUA KAMA DTK MOJA KISHA SUKUTUA NA MAJI SAFI AFU NENDA KALALE....AISEE UKIAMKA ASUBUHI UNAWEZA UKADHANI HUJALALA HVI YAN HAKUNA HARUFU YOYOTE MBAYA UTAISKIA ,HARUFU SAFI KABISA NA UNAWEZA HATA USIPIGE HUO MSWAKI ASBUHI NA IKAWA SAFI KABISA.

Kumbuka:Safisha meno lakini ukimaliza maliza na ulimi,ulimi ndiyo shida wengi hawajui hili.
 
Nimepata hint sehemu kuhusu harufu ya mwili/mdomo/jasho/mkojo kuwa inaendana na unachokikula pia; Chakula kinachoegemea kwenye nyama, junk na mikaangizo VS kichoegemea kwenye matunda, mbogamboga na michemsho.

Ukiangalia kimantiki haiwezekani panya amshinde harufu paka kabisa, maana paka anamla huyo panya so harufu yake ni harufu ya paka plus harufu ya panya.

So kama chakula chako ni kitata bro, utamaliza pafyumu na pafyumu na mabeseni na mabeseni ya maji ya kuoga. Ndo maana baada ya kula mapilau siku mbili tatu za mbeleni lazma harufu zinazokutoka ziwe tata. Shida inakuja watu sasa wamehalalisha kula kiukawaida vyakula rasmi. So harufu za ajabu zinakuwa ndio kawaida yao
 
Kabla sijacomment, je ni namna gani mtu atajijua anatoa harufu mbaya ya kinywa? Wengine hawajui/sijijui harufu wanayoisikia wenzangu ni nzuri au mbaya, tufanyaje tujue harufu zetu?
Kuna post niwahi kuona mtandaoni, jamaa alisema, geuza kiganja chako (palm), ule upande wenye ngozi nyeusi kwa sisi waafrika, kisha lamba hapo kama unalamba icecream(mara moja tu) kisha nusa. Hyo ndo harufu inayotoka kinywani mwako.
As usual, no research no right to speak, sina research ya kubackup hii claim, but its worth a try. 🤷🏾‍♂️
 
Kuna post niwahi kuona mtandaoni, jamaa alisema, geuza kiganja chako (palm), ule upande wenye ngozi nyeusi kwa sisi waafrika, kisha lamba hapo kama unalamba icecream(mara moja tu) kisha nusa. Hyo ndo harufu inayotoka kinywani mwako.
As usual, no research no right to speak, sina research ya kubackup hii claim, but its worth a try. 🤷🏾‍♂️
Thank you for sharing, nitajaribu hii
 
Kuna post niwahi kuona mtandaoni, jamaa alisema, geuza kiganja chako (palm), ule upande wenye ngozi nyeusi kwa sisi waafrika, kisha lamba hapo kama unalamba icecream(mara moja tu) kisha nusa. Hyo ndo harufu inayotoka kinywani mwako.
As usual, no research no right to speak, sina research ya kubackup hii claim, but its worth a try. [emoji2377]
Sinuki[emoji4][emoji122][emoji122][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kabla sijacomment, je ni namna gani mtu atajijua anatoa harufu mbaya ya kinywa? Wengine hawajui/sijijui harufu wanayoisikia wenzangu ni nzuri au mbaya, tufanyaje tujue harufu zetu?

Chukua ulimi wako, lamba kwenye kiganja cha mkono wa kulia harufu utayosikia ujue ndio kinywa chako kilivo
 
Cha kwanza afya ya kinywa ni pamoja na walau kuwaona wataalamu wa afya ya kinywa mara mbili kwa mwaka,
Kitu cha pili ulaji wa matunda na unywaji bora wa maji husaidia kinywa kua na hali nzuri,
Kuepuka sana nyama nyekundu na vyakula vya sukari ni hatari kwa afya ya kinywa.
 
Kitu kingine jitahidi kujisaidia haja kubwa kwa wakati au muda tu unapohisi kwani ile gesi ikijaa hutafuta sehemu ya kutokea ambapo ni kinywani.
 
Jinsi ya kusafisha kinywa
Kwanza tunashauriwa kusafisha kinywa mara mbili kwa siku na zaidi hasa baada ya kula chakula matatizo huanzia hapa watu wengi kwa uvivu hulala bila kusafisha vinywa vyao yaani huswaki mara moja asubuhi tena zaidi kabla ya chai yaani ni afadhali ukimaliza chai ndio uswaki, utashinda vizuri, lakini pia baada ya chakula cha usiku jitahidi usafishe kinywa chako vizuri
 
Back
Top Bottom