Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Feedback please?Thank you for sharing, nitajaribu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitu kingine jitahidi kujisaidia haja kubwa kwa wakati au muda tu unapohisi kwani ile gesi ikijaa hutafuta sehemu ya kutokea ambapo ni kinywani.
Sinuki Kuna dawa ya mdomo nayotumia Mimi hyo balaa ht unuke vipii!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1. subiri ukiamka unuse
2. Ukimaliza lunch mida kama ya saa kumi hivi nusa tena.
Then hapo utajua hali ikoje
Dabur the best ever!!!Kinywa utasafisha kama ifuatavo utachukua dawa ya meno unayopenda au uliyoshauriwa binafsi nina aina kama tano za dawa za meno hua natumia. 1. Sensodyne 2. RED 3. Dabur herbs 4. Colgate maxfresh na 5. Aqua fresh dawa hizo hua natumia kwa nyakati tofauti kulingana na wakati na nafasi lakini pia natumia Listerin Mouth wash ni muhimu japo mara mbili au tatu kwa wiki.
Omba asikupakie bodaboda wa hivyoImekuwa zaidi ya ugonjwa unakuta mtu amependeza hasa aila akikusogele kuongea mdomo wake unato harufu si nzuri.
Nashauri elimu itolewe kwa kila namna kuondoa hili tatizo.
Kuna muda naskia harufu ya kawaida, na muda mwingine nasikia harufu mbayaa, sasa sijui niseme nanuka or not🤔Feedback please?
Usisahau kama hydrogen peroxde ni sumu. Kupanga ninkuchaguaWashauri watumie Hydrogen peroxide mouth wash au Listerine solution kwa ajili ya kusukutua na kumaliza harufu hizo.
Tembelea Duka la Dawa lililokaribu ukainue uchumi wa nchi
Usisahau kama hydrogen peroxde ni sumu. Kupanga ninkuchagua
Kupanga ni kuchaguaNdio maana katoa option ya listerine lakini mwiko hizo mouth wash hautakiwi kuimeza hata tone moja