Labda kama na page iliyo Twitter (x) ya uhamiji pia itakuwa fake maanaHii feki
Hapana,hata Ahmed Ally amethibitisha kupitia clouds FM RedioHii feki
Huyu mtu mmemtoa wapi mbona anaandika pumba? Hakuna watu wanaowajua ndugu zake waje wachukue?Ninavyofahamu maombi ya uraia wa Tanzania anatakiwa kuomba mhusika mwenyewe.
Pili anayetoa uraia wa Tanzania ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na siyo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji. Sasa hawa Simba (kama hii barua imetoka kwao) hawana mwanasheria awasaidie kuwaleza kuhusu utaratibu wa kisheria wa kuomba uraia wa Tanzania? Au wamesukumwa na mihemko tu.
Kwa hiyo hatuna haja ya kuwa na idara ya uhamiaji , hivyo mtu yeyote aruhusiwe kuwa raia wa TZ kisa tuna maeneo ya kutosha? Yaani unafikiri itaishia Kwa timu za mpira tu ikiwa itakuwa rahisi tu kuwa raia wa hii nchi. Kwa hiyo na wale wakimbizi wawe wanapewa uraia kisa tuna maeneo ya kutosha?
Ufaransa kama una kipaji unapewa tu uraia hawana noma. Ukiwa mkimbizi kama huna kipaji au kitu special ni ngumu kupata uraia.Kwa hiyo hatuna haja ya kuwa na idara ya uhamiaji , hivyo mtu yeyote aruhusiwe kuwa raia wa TZ kisa tuna maeneo ya kutosha? Yaani unafikiri itaishia Kwa timu za mpira tu ikiwa itakuwa rahisi tu kuwa raia wa hii nchi. Kwa hiyo na wale wakimbizi wawe wanapewa uraia kisa tuna maeneo ya kutosha?
Hii ni taarifa ya kuthibitisha tetesi sio ufafanuziTAARIFA KWA UMMAIdara ya Uhamiaji inapenda kutoa ufafanuzi wa taarifa zilizochapishwa na kujadiliwa kwenye mitandao ya kijamii na Vyombo vya Habari kuhusu kupatiwa uraia wa Tanzania wachezaji watatu wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Singida Black Stars.
Wachezaji wanaotajwa kwenye taarifa hizo ni kama ifuatavyo:-
1.Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana),
2.Josephat Arthur Bada (Cote d'Ivoire), na
3. Muhamed Damaro Camara (Guinea).
Wachezaji tajwa waliomba na kupewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na 23 vya Sheria ya Uraia ya Tanzania, Sura ya 357.
Kwa muktadha huo, Idara ya Uhamiaji inapenda kuutaarifu Umma kuwa watajwa ni raia wa Tanzania kwa Tajnisi.
Imetolewa na;
SSI. Paul J. Mselle
MSEMAJI MKUU WA IDARA YA UHAMIAJI
Soma pia: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Una kitu gani special cha kuwa offer? Hao wamepewa uraia kwasababu wana vipaji vya mpira wanaweza kulisaidia taifa kwenye CHAN au AFCON. Wewe je whachu yu gati meni?Kumbe unaweza kuwa raia wa Ghana asubuhi na jioni ukawa raia wa Tanzania kumbe mambo ni marais namna hiyo kumbe sisi maraia ndio tunacomplicate mambo
Hakika hakuna mkate mgumu mbele ya chai
'Kipindi fulani',,👈 ni kipindi cha muda gani?
- Kuomba uraia baada ya kuishi nchini kwa kipindi fulani.
Kwa sheria gani hao wachezaji watachezea taifa stars unazijua sheria za FIFA zinasemaje kuhusu wachezaji waliopewa uraiaUna kitu gani special cha kuwa offer? Hao wamepewa uraia kwasababu wana vipaji vya mpira wanaweza kulisaidia taifa kwenye CHAN au AFCON. Wewe je whachu yu gati meni?
Nakuunga mkono da feiKwani kuwa raia kunawasaidiq nini katika uchezqji wao mpira?
Hao wameipenda Tanzania wanatakankununua ardhi na kujenga.
Wacha wape1e tu uraia, sioni tatizo kama hawajakiuka sheria.
FIFA wanasema ni miaka 5 ndo unaruhusiwa kucheza si ndio? bada na damaro wana 22 so watatusaidia 2030.Kwa sheria gani hao wachezaji watachezea taifa stars unazijua sheria za FIFA zinasemaje kuhusu wachezaji waliopewa uraia
Nilifikiri wajinga wanapungua kumbe mnazidi kuongezeka.
NajisiTajnisi ndio Nini?
Wewe ni standard 7, kama unavyojiita na hata akili zako zinafanana na jina lako standard 7.Kwa sheria gani hao wachezaji watachezea taifa stars unazijua sheria za FIFA zinasemaje kuhusu wachezaji waliopewa uraia
Nilifikiri wajinga wanapungua kumbe mnazidi kuongezeka.
🤣🤣🤣 matus yako wap n ivi ili uwe raia watanzania n lazma uwe umeish ndan ya nch kwa miaka 7 mpaka kumi sawa bhana, na nch yeyote dunian inalinda ajira ya wazawa kwanza cha pili kupewa uraia wachezazaj wa sngda black stars je wana umri gan, serikal imepoteza kodi kians gan smba nao wamekuja et na wachezaji 9 wanaitaji uraia was was wetu nkwamba nch yetu isje ikwa kila raia wakgen akija anaitaji uraia yasje tokea kama SA au uko ulaya na hata marekani wimbi la waamiaji inaowasumbuaNgoja nikupuuzie tu, ili maisha yaendelee. Endapo utajibu hii, mimi sitakujibu chochote tena kuhusu hili.
Kumbuka: Mtu yeyote anayetanguliza matusi na maneno ya kuudhi anapojenga hoja yake........lazima kutakuwa na walakini kwenye akili yake.