Idara ya Usalama (TISS) na Jeshi la Wananchi (TPDF) vinatukuzwa sana

Idara ya Usalama (TISS) na Jeshi la Wananchi (TPDF) vinatukuzwa sana

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sijui niseme Watanzania wajinga au washamba. Watanzania wengi wanatamani aidha wangekuwa watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa au JWTZ.
Ukiwadadisi sababu haswa hawana hata maelezo ya kutosha.
Vijana wa UVCCM hupenda kuwatisha watu kuwa wao ni watumishi wa TISS huku hata kula kwao ni kwa shida.
Mwalimu mmoja nilimchapia mke wake akanitishia kuwa yeye ni mjeshi ataninyoosha. Niliishia kucheka. Mbona mwalimu ni mtu wa hadhi kuliko mwanajeshi lakini jamaa anakataa kazi yake na kijifanya mjeshi.
Kitu gani cha maana kiko huko TISS?
U special wao uko wapi ikiwa Taifa linaingizwa kwenye mikataba ya kifedhuli kila siku?
Magufuli amevunja mikataba mingapi na kampuni za kimataifa?
Wakati inasainiwa hao TISS ambao mnawaona so special walikuwa wapi?.
Kijana mmoja fundi magari kashikwa na trafiki kwa kuendesha gari hovyo akasema yeye ni usalama. Hivi vijana nani kawaroga?
 
Ni kwa sababu wanaweza kutamba mtaani bila kuwajibishwa kama kada zingine, wana uwezo wa kutisha hata matajiri na viongozi na pia kujua siri za watu.

Nchi zetu za kiAfrica pia hakuna fursa nzuri za maana za sekta binafsi ya ulinzi kwa hiyo lazima watambe.
 
Ni
Sijui niseme Watanzania wajinga au washamba. Watanzania wengi wanatamani aidha wangekuwa watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa au JWTZ.
Ukiwadadisi sababu haswa hawana hata maelezo ya kutosha.
Vijana wa UVCCM hupenda kuwatisha watu kuwa wao ni watumishi wa TISS huku hata kula kwao ni kwa shida.
Mwalimu mmoja nilimchapia mke wake akanitishia kuwa yeye ni mjeshi ataninyoosha. Niliishia kucheka. Mbona mwalimu ni mtu wa hadhi kuliko mwanajeshi lakini jamaa anakataa kazi yake na kijifanya mjeshi.
Kitu gani cha maana kiko huko TISS?
U special wao uko wapi ikiwa Taifa linaingizwa kwenye mikataba ya kifedhuli kila siku?
Magufuli amevunja mikataba mingapi na kampuni za kimataifa?
Wakati inasainiwa hao TISS ambao mnawaona so special walikuwa wapi?.
Kijana mmoja fundi magari kashikwa na trafiki kwa kuendesha gari hovyo akasema yeye ni usalama. Hivi vijana nani kawaroga?
Ni uoga tu wa maisha na mawazo ya kuajiriwa. Kun watu nina uhakika wanapata mafunzo ya kupigana na kuingia vitani huko vikosini lakini ikija vita nchi hii haohao watakimbia, pamoja na mafunzo yao
 
Sijui niseme Watanzania wajinga au washamba. Watanzania wengi wanatamani aidha wangekuwa watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa au JWTZ.
Ukiwadadisi sababu haswa hawana hata maelezo ya kutosha.
Vijana wa UVCCM hupenda kuwatisha watu kuwa wao ni watumishi wa TISS huku hata kula kwao ni kwa shida.
Mwalimu mmoja nilimchapia mke wake akanitishia kuwa yeye ni mjeshi ataninyoosha. Niliishia kucheka. Mbona mwalimu ni mtu wa hadhi kuliko mwanajeshi lakini jamaa anakataa kazi yake na kijifanya mjeshi.
Kitu gani cha maana kiko huko TISS?
U special wao uko wapi ikiwa Taifa linaingizwa kwenye mikataba ya kifedhuli kila siku?
Magufuli amevunja mikataba mingapi na kampuni za kimataifa?
Wakati inasainiwa hao TISS ambao mnawaona so special walikuwa wapi?.
Kijana mmoja fundi magari kashikwa na trafiki kwa kuendesha gari hovyo akasema yeye ni usalama. Hivi vijana nani kawaroga?
Watanzania washamba sana. Wanajeshi ni mavi tu kwanza hawana hela ni ombabomba huku mtaani
 
Kibongo bongo nawao wapo juu ya sheria kama wanasiasa wa CCM.
 
Vinaachaje kutukuzwa ili hali ni vyombo vya ulinzi na usalama?
 
Wa Tz wako hvyo kwakuw wanazan kuw katk fani hyo wew ndio umejuu ya sheria (special kulko kada zngne)

Na mfano tazam watu waliofanikiwa na wenye nguvu na pesa wapo kawaid chek wanajeshi wa united states wakiwa popote pale wako kawaida ata wakihojiwa ila kbongo sifa ya mwanajesh awe siriaz kama anakunya akiw uraiani
 
Sijui niseme Watanzania wajinga au washamba. Watanzania wengi wanatamani aidha wangekuwa watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa au JWTZ.
Ukiwadadisi sababu haswa hawana hata maelezo ya kutosha.
Vijana wa UVCCM hupenda kuwatisha watu kuwa wao ni watumishi wa TISS huku hata kula kwao ni kwa shida.
Mwalimu mmoja nilimchapia mke wake akanitishia kuwa yeye ni mjeshi ataninyoosha. Niliishia kucheka. Mbona mwalimu ni mtu wa hadhi kuliko mwanajeshi lakini jamaa anakataa kazi yake na kijifanya mjeshi.
Kitu gani cha maana kiko huko TISS?
U special wao uko wapi ikiwa Taifa linaingizwa kwenye mikataba ya kifedhuli kila siku?
Magufuli amevunja mikataba mingapi na kampuni za kimataifa?
Wakati inasainiwa hao TISS ambao mnawaona so special walikuwa wapi?.
Kijana mmoja fundi magari kashikwa na trafiki kwa kuendesha gari hovyo akasema yeye ni usalama. Hivi vijana nani kawaroga?
Umenifurahisha sana hapo ulipoeleza kumchapa mke wa mwalimu.Dhambi hiyo ujue!
 
Sijui niseme Watanzania wajinga au washamba. Watanzania wengi wanatamani aidha wangekuwa watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa au JWTZ.
Ukiwadadisi sababu haswa hawana hata maelezo ya kutosha.
Vijana wa UVCCM hupenda kuwatisha watu kuwa wao ni watumishi wa TISS huku hata kula kwao ni kwa shida.
Mwalimu mmoja nilimchapia mke wake akanitishia kuwa yeye ni mjeshi ataninyoosha. Niliishia kucheka. Mbona mwalimu ni mtu wa hadhi kuliko mwanajeshi lakini jamaa anakataa kazi yake na kijifanya mjeshi.
Kitu gani cha maana kiko huko TISS?
U special wao uko wapi ikiwa Taifa linaingizwa kwenye mikataba ya kifedhuli kila siku?
Magufuli amevunja mikataba mingapi na kampuni za kimataifa?
Wakati inasainiwa hao TISS ambao mnawaona so special walikuwa wapi?.
Kijana mmoja fundi magari kashikwa na trafiki kwa kuendesha gari hovyo akasema yeye ni usalama. Hivi vijana nani kawaroga?
Ww ni mpumbavu kutembea na mwanamke ambaye unajua ni mke wa mtu
 
Back
Top Bottom