little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Ila katika field siyo kama unavyofikiria ni majukumu mazito ogopa sana kutoa amri kwa watu ambao morali ya kupigana imekata.Ila kiukweli kuna Raha yake kuwa mjeda ila uwe ni Afisa ...hapo utafurahia ujeda wako..
Ila sio bega tupu wazee wa kufyeka nyasi