Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Piolisi hawatakiwi kupiga wakati wowote katika kazi yao.

Kitu kama hiki hakuna kabisa na wala si sehemu ya suluhu.
"suluhu ya raia wanaokosea machoni pa Polisi wetu si KUPIGWA TU!:"

Mkuu, moja ya silaha ambazo polisi wanamiliki kihalali ni rungu. Niambie ni wakati gani silaha hiyo hutumika na kwa watu wa aina gani
 
Mie nadhani kuna haja ya wananchi wengi kuelimishwa juu ya hulka za wanasiasa na athari zinazowapata kwa kukiuka maagizo ya vyombo vya dola.

Ona kwa mfano, polisi wamesema kuwa maandamano hayana kibali cha polisi na kwa hali hiyo ni batili, mjinga mmoja anajitokeza na kuanza kuwashawishi wananchi waandamane. Polisi wakitumia nguvu kuwatawanya mtu huyo anaanza kutengeneza chuki eti polisi wametumia nguvu kupita kiasi. Au polisi wamezuia watu kukusanyika mahali fulani kwa sababu yoyote ile.

Pia polisi wameimarisha ulinzi katika eneo hilo na askari wapo hapo kwa zaidi ya masaa 6' hawali wala kunywa. Anajitokeza mjinga mmoja anaanza kuwahamasisha wananchi waingie kwa nguvu. Polisi wakitembeza mkong'otomtu huyo anaanza kulalamika matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi.

Mie nadhani polisi ifike hatua badala ya kuhangaika na wananchi, ishughulike na huyu mchochezi
 
Mwenye macho na atazame, mwenye masikio na asikie.
 
Mojawapo ya taasisi ambazo binafsi naamini zimechangia sana kuwepo na kutamalaki kwa utawala wa kifisadi ni Idara hii; kuchangia kwake hasa ni kutokana na mfumo na muundo wake wa kisheria lakini pia kutokana na uongozi wake kutokuja katika karne ya ishirini na moja. Tangu 1996 sheria ya idara hii ilipoundwa hakujafanyika mabadiliko yoyote ya maana ya kisheria kiasi kwamba sheria hii iko nyuma karibu miaka ishirini sasa na hali halisi ya changamoto za masuala ya kiinteligensia.

Matukio mbalimbali ambayo yametokea hadi hivi sasa yanathibitisha tu kuwa wakati wa kutumbua uongozi wa idara hii umefika.

MMM
 
Mojawapo ya taasisi ambazo binafsi naamini zimechangia sana kuwepo na kutamalaki kwa utawala wa kifisadi ni Idara hii; kuchangia kwake hasa ni kutokana na mfumo na muundo wake wa kisheria lakini pia kutokana na uongozi wake kutokuja katika karne ya ishirini na moja. Tangu 1996 sheria ya idara hii ilipoundwa hakujafanyika mabadiliko yoyote ya maana ya kisheria kiasi kwamba sheria hii iko nyuma karibu miaka ishirini sasa na hali halisi ya changamoto za masuala ya kiinteligensia.

Matukio mbalimbali ambayo yametokea hadi hivi sasa yanathibitisha tu kuwa wakati wa kutumbua uongozi wa idara hii umefika.

MMM
Tumekuchoka please
 
Mojawapo ya taasisi ambazo binafsi naamini zimechangia sana kuwepo na kutamalaki kwa utawala wa kifisadi ni Idara hii; kuchangia kwake hasa ni kutokana na mfumo na muundo wake wa kisheria lakini pia kutokana na uongozi wake kutokuja katika karne ya ishirini na moja. Tangu 1996 sheria ya idara hii ilipoundwa hakujafanyika mabadiliko yoyote ya maana ya kisheria kiasi kwamba sheria hii iko nyuma karibu miaka ishirini sasa na hali halisi ya changamoto za masuala ya kiinteligensia.

Matukio mbalimbali ambayo yametokea hadi hivi sasa yanathibitisha tu kuwa wakati wa kutumbua uongozi wa idara hii umefika.

MMM
Sijaelewa kwahiyo wa kutumbuliwa ni uongozi mfumo wa taasisi?
 
Kwa kuwa hawakuiona mv dar au kuuzwa Nyumba za serikali? Mzee una shida
 
Kama nimekusoma na kukuelewa vema ni kuwa Muundo na mfumo wake ni wa kizamani..Hivyo utaona sababu ya msingi ya idara hii kutofanya vizuri ni mfumo na muundo ambao ni wa kizamani..Sasa unapokuja na mapendekezo ya kutumbua viongozi na mfumo ubaki ulivyo huoni kuwa utakuwa umetatua tatizo kwa muda?

Maana hata hao wapya watakao wekwe leo kama mfumo ni mbovu watafanya kile kile ambacho watanguli wao walifanya.

Huwezi kutegemea kitu tofauti kwa mfumo ule ule ambao ni mbovu kwa kuweka watu wapya..

Na hiki ndo kitu ninachokiona katika utawala huu kutegemea kitu tofauti kwa mfumo ule ule matokeo yake katika karne hii watu wanapanga foleni ya kupata sukari..Na hapo watu wanamatuaini ya Tanzania ya viwanda....
 
Wakuu moja ya idara ambayo inajiendesha kizamani ni Usalama wa Taifa. Idara hii haitaki kubadilika enzi na enzi.

Suala la Kukamatwa kwa Spies karibu 8 kama siyo 19 ni moja kati ya Mambo yanayoibua sintofahamu huku wengine wakiwanyooshea Bastola watu halafu Polisi wanakana kuwa hakua Polisi lakini pia hawakumkata nina Uhakika Kama angekua raia wa kawaida na akaonesha Toy tuu angekua kashakamtwa kwa sababu Viongozi wa Polisi walikuepo pale.

Ushushu Tanzania imekua kazi ya Kishkaji na Kurithishana bila kuangalia vigezo kwa wahusika wamekua wanashindwa hata kujua ni Viongozi wepi wa kuwatii Usalama wa Taifa unakuta anatumika na Viongozi ambao hawana hata mamlaka ya Kuwatuma.

Mwisho Niombe tuu Mkurugenzi wa Taasisi hii nyeti tafadhali punguzeni Ushikaji wakati wa Recruitment wekeni watu wenye Uwezo na wenye Taaluma Mbalimbali.

Tuige mifano ya CIA, Mi6, jinsi wanavyo operate kwa Weledi wa Hali ya Juu CIA kule ni taasis ambayo inafanya kazi bila kupokea maagizo ya mtu yeyote ndani ya Marekani.

Vitendo vya TISS kujihusisha na Kuwaibia Kura Wabunge ni vitendo vinavyoishushia heshima idara ya Usalama.
 
Back
Top Bottom