Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Wakuu moja ya idara ambayo inajiendesha kizamani ni Usalama wa Taifa. Idara hii haitaki kubadilika enzi na enzi.

Suala la Kukamatwa kwa Spies karibu 8 kama siyo 19 ni moja kati ya Mambo yanayoibua sintofahamu huku wengine wakiwanyooshea Bastola watu halafu Polisi wanakana kuwa hakua Polisi lakini pia hawakumkata nina Uhakika Kama angekua raia wa kawaida na akaonesha Toy tuu angekua kashakamtwa kwa sababu Viongozi wa Polisi walikuepo pale.

Usushushu Tanzania imekua kazi ya Kishkaji na Kurithishana bila kuangalia vigezo kwa wahusika wamekua wanashindwa hata kujua ni Viongozi wepi wa kuwatii Usalama wa Taifa unakuta anatumika na Viongozi ambao hawana hata mamlaka ya Kuwatuma.

Mwisho Niombe tuu Mkurugenzi wa Taasisi hii nyeti tafadhari punguzeni Ushikaji wakati wa Recruitment wekeni watu wenye Uwezo na wenye Taaluma Mbalimbali.

Tuige mifano ya CIA, Mi6, jinsi wanavyo operate kwa Weledi wa Hali ya Juu CIA kule ni taasis ambayo inafanya kazi bila kupokea maagizo ya mtu yeyote ndani ya Marekani.

Vitendo vya TISS kujihusisha na Kuwaibia Kura Wabunge ni vitendo vinavyoishushia heshima idara ya Usalama.
Najua hapa JF wapo, nashauri yafuatayo:
1.Neno intelligence ni weredi, upatikanaji wa watumushi katika idara hii ufanyiwe mchujo kuanzia shule za msingi kwa kuwa na maajenti/informers watakaochagua wanafunzi waliofanya vizuri
2.Maadili ya familia wanazotoka - ni muhimu watu hawa nyeti wasitoke katika familia zenye mitafaruku mf familia ambazo wazazi wameachana
3.Uzalendo :Wafundishwe uzalendo uliotukuka ili watumike kwa busara
NI HAYO, WAWEZA ONGEZA MENGINE
 
Hii nchi tunaongozwa na JWTZ hizi department zingine hamna vitu vya maana wanavyofanya zaidi ya kuonea wananchi na kufanya mambo ya ajabu ajabu

JWTZ huwezi kuwakuta kwenye mambo ya kipuuzi hata siku moja
Wale waliopelekwa zanzibar kipindi cha uchaguzi walikuwa migambo?
 
Watanzania tuna safari ndefu sana. Sasa tumetoka kwenye siasa tunavamia kuijadili taasisi ambayo sio ya kisiasa na inaendeshwa kwa usiri mkubwa. Kazi kweli kweli. Wewe una uhakika hao waliokamatwa kweli ni watu wa usalama wa taifa? Unajaribu kuwaingiza watu matatizoni kuanza kuijadili TISS. Unachokitaka hao unaowajadili watakupatia kama unadhani upo salama sana ktk hili jukwaa au huko mitandao mingine. Kama mtu sio daktari wa mambo ya neural unaanzaje kujadili na kukosoa namna ya kufanya operation inayohusu ubongo? Tuheshimu taaluma za watu. Tuwaache TISS wafanye kazi zao kadiri ya taaluma yao na mafunzo ya kazi yao. Haya mengine ni mambo ya propaganda za mitandaoni.
 
Watanzania tuna safari ndefu sana. Sasa tumetoka kwenye siasa tunavamia kuijadili taasisi ambayo sio ya kisiasa na inaendeshwa kwa usiri mkubwa. Kazi kweli kweli. Wewe una uhakika hao waliokamatwa kweli ni watu wa usalama wa taifa? Unajaribu kuwaingiza watu matatizoni kuanza kuijadili TISS. Unachokitaka hao unaowajadili watakupatia kama unadhani upo salama sana ktk hili jukwaa au huko mitandao mingine. Kama mtu sio daktari wa mambo ya neural unaanzaje kujadili na kukosoa namna ya kufanya operation inayohusu ubongo? Tuheshimu taaluma za watu. Tuwaache TISS wafanye kazi zao kadiri ya taaluma yao na mafunzo ya kazi yao. Haya mengine ni mambo ya propaganda za mitandaoni.
JUKWAA LA JF LINA FANI NA WATAALAMU WA AINA ZOTE PIA.NJIA BORA YAKUWA BORA NI UONYESHWA MAPUNGUFU NAKUYAFANYIA KAZI.INGAWA SI JAMBO JEMA KUZUSHIA TAASISI HII..
 
Wee jamaa wewee acha kudanganya mazuzu wenzio huyo aliyekuwa Mkuu wa Tume ndio nani
Mkuu wa usalama wa taifa mkuu.usicheke mkuu ndo pahala tulipo fika.

Mnapo ambiwa ngano chakavu iondolewe chini hamtaki umeona..?[emoji121]
 
Hii nchi tunaongozwa na JWTZ hizi department zingine hamna vitu vya maana wanavyofanya zaidi ya kuonea wananchi na kufanya mambo ya ajabu ajabu

JWTZ huwezi kuwakuta kwenye mambo ya kipuuzi hata siku moja

JWTZ hii hii iliyotutisha wananchi siku moja kabla ya kupiga kura 2010? Humkumbuki yule bwana alitokea kwenye tv na magwanda yake akitishia watu kuyapokea matokeo yatakayotangazwa. Halafu Jakaya akamzawadia ubalozi huko China. Nimemsahau jina yule ofisa.
 
Usipende kuropoka mkuu....hujajificha kwa ID fake utadakwa utoe ushahidi
Ukikimbuka kwamba mwisho wa viumbe wote ni mauti basi unaishi kwa amani sana..Cha msingi fanya yanayompendeza Muumba
 
Watanzania tuna safari ndefu sana. Sasa tumetoka kwenye siasa tunavamia kuijadili taasisi ambayo sio ya kisiasa na inaendeshwa kwa usiri mkubwa. Kazi kweli kweli. Wewe una uhakika hao waliokamatwa kweli ni watu wa usalama wa taifa? Unajaribu kuwaingiza watu matatizoni kuanza kuijadili TISS. Unachokitaka hao unaowajadili watakupatia kama unadhani upo salama sana ktk hili jukwaa au huko mitandao mingine. Kama mtu sio daktari wa mambo ya neural unaanzaje kujadili na kukosoa namna ya kufanya operation inayohusu ubongo? Tuheshimu taaluma za watu. Tuwaache TISS wafanye kazi zao kadiri ya taaluma yao na mafunzo ya kazi yao. Haya mengine ni mambo ya propaganda za mitandaoni.
Safar ndefu ya kwenda wapi? Kigoma au musoma?
 
JWTZ hii hii iliyotutisha wananchi siku moja kabla ya kupiga kura 2010? Humkumbuki yule bwana alitokea kwenye tv na magwanda yake akitishia watu kuyapokea matokeo yatakayotangazwa. Halafu Jakaya akamzawadia ubalozi huko China. Nimemsahau jina yule ofisa.
Na kule China alishastaafu juzi nilikutana nae Kariakoo tunanunua sado za nyanya wote
 
Good People Duh!! kiingereza kigumu bana. Hujatukana kweli??? JF mnaruhusu kutukana? Inakuwaje home of great thinkers mnaruhusu matusi kwenye posts?
 
Wakuu moja ya idara ambayo inajiendesha kizamani ni Usalama wa Taifa. Idara hii haitaki kubadilika enzi na enzi.

Suala la Kukamatwa kwa Spies karibu 8 kama siyo 19 ni moja kati ya Mambo yanayoibua sintofahamu huku wengine wakiwanyooshea Bastola watu halafu Polisi wanakana kuwa hakua Polisi lakini pia hawakumkata nina Uhakika Kama angekua raia wa kawaida na akaonesha Toy tuu angekua kashakamtwa kwa sababu Viongozi wa Polisi walikuepo pale.

Ushushu Tanzania imekua kazi ya Kishkaji na Kurithishana bila kuangalia vigezo kwa wahusika wamekua wanashindwa hata kujua ni Viongozi wepi wa kuwatii Usalama wa Taifa unakuta anatumika na Viongozi ambao hawana hata mamlaka ya Kuwatuma.

Mwisho Niombe tuu Mkurugenzi wa Taasisi hii nyeti tafadhali punguzeni Ushikaji wakati wa Recruitment wekeni watu wenye Uwezo na wenye Taaluma Mbalimbali.

Tuige mifano ya CIA, Mi6, jinsi wanavyo operate kwa Weledi wa Hali ya Juu CIA kule ni taasis ambayo inafanya kazi bila kupokea maagizo ya mtu yeyote ndani ya Marekani.

Vitendo vya TISS kujihusisha na Kuwaibia Kura Wabunge ni vitendo vinavyoishushia heshima idara ya Usalama.
tueleze kidogo usalama wa Taifa na akina nani? maana sisi wengine ni wageni na hata.
 
Duh!! kiingereza kigumu bana. Hujatukana kweli??? JF mnaruhusu kutukana? Inakuwaje home of great thinkers mnaruhusu matusi kwenye posts?
kiingereza kigumu bhana, kilija na ngalawa. usijidai hujui kiingereza halafu unakuwa na mlengo wa kumtukana mtu
 
Khaaa !! Kweli chama kina watu inamana hadi leo hujui TISS nini !? Halafu na wewe ni miongoni mwa watetezi wakuu wa chama?? Umetia aibu bora ungekaa kimya kwanza ,ndio maana wajinga hawaishi ndani ya CCM mpo wengi kwa kweli

Yaani JF imevamiwa. Msamehe. Watu wanapost tu kwasababu ana smart phone hata kama hajui chochote kuhusu suala linaloongelewa.
 
Umeongea jambo zuri na jema sana
Sina uhakika wenyewe sijui wamo humu au....
Na je wanasikia?
Badilikeni bana
 
Back
Top Bottom