Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

Unajua maana ya record keeping? Afisa yeyote wa Tiss lazima aandike after-action report(Debrief) baada ya operation

Hizo reports zinakuwa analysed na kuwa incorporated into training programs za junior officers.

Sasa tumia akili yako ufikirie TISS wana archive ya operations za miaka 50. Wanajua weakness na strength za different tactics

Wewe mpuuzi unaamka asubuhi unaaza kuandika kuwa TISS hawajui kitu.Wewe ndugu ni zero brain.Low IQ
Kuna tofauti kubwa sana kati ya unacho kijua wewe kuhusu TISS na ninacho kijua mimi kuhusu TISS umeandika theory zako nyingi sana hapo lakin kifupi HUIJUI TISS ila unajua majukumu ya TISS acha ujuaji kwa usiyo yajua.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya unacho kijua wewe kuhusu TISS na ninacho kijua mimi kuhusu TISS umeandika theory zako nyingi sana hapo lakin kifupi HUIJUI TISS ila unajua majukumu ya TISS acha ujuaji kwa usiyo yajua.

Haha kati ya mimi na wewe unayesema "unajua" nani mjuaji ? Tatizo una interact na low level operatives unadhani officers ni wajinga kama hao footsoldiers
 
Haha kati ya mimi na wewe unayesema "unajua" nani mjuaji ? Tatizo una interact na low level operatives unadhani officers ni wajinga kama hao footsoldiers
Haya unajua sana wewe.
 
Ukisikia yallalah fahamu jiwe limemgusa mwenyewe.nafuatilia tu huu uzi kwa miaka 4 kuna mengi nayapata.
Endeleeni kutujuza mnaojua.
 
Unajua maana ya record keeping? Afisa yeyote wa Tiss lazima aandike after-action report(Debrief) baada ya operation

Hizo reports zinakuwa analysed na kuwa incorporated into training programs za junior officers.

Sasa tumia akili yako ufikirie TISS wana archive ya operations za miaka 50. Wanajua weakness na strength za different tactics

Wewe mpuuzi unaamka asubuhi unaaza kuandika kuwa TISS hawajui kitu.Wewe ndugu ni zero brain.Low IQ
Mkuu unabishana na mtu ambae anadhani anajua kumbe hajui. Kama TISS wangekuwa wanatoa taarifa ya kila kazi zao hadharani watu wangewaheshimu na sio kuwadharau lakini kwa kuweka taarifa zao hadhani hiyo haitakuwa security tena na itapoteza maana ya intelligence service, usiri ndio msingi wa mafanikio. Waache vijana huku mitaani turopoke kwa sababu tumeshiba amani ambayo vyombo vyetu tunavyo vitukana vimewezesha kuwepo kwake.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya unacho kijua wewe kuhusu TISS na ninacho kijua mimi kuhusu TISS umeandika theory zako nyingi sana hapo lakin kifupi HUIJUI TISS ila unajua majukumu ya TISS acha ujuaji kwa usiyo yajua.

Kwa mara yangu ya kwanza tokea niwepo humu JF nafurahi sana leo kuwajua Wanausalama wa Taifa ( TISS ) Wewe na huyo mwenzako mnayebishana hapo. Karibuni mno na sisi wana JF tunatambua sana uwepo wenu humu na ni imani yetu kuwa mengi tunayoaandika humu huwa mnayafikisha kwa Spymasters wenu ili yawasaidieni katika ulinzi, usalama na amani ta nchi yetu Mama Tanzania. Vipi Wakuu intake ya safari hii lini inaanza ili niwaombeni mnisaidie nami GENTAMYCINE nipate nafasi nikafunzwe vizuri Ujasusi?
 
Ndilo ambalo Raisi wetu ameanza kulifanya.Mku wake katokea tume ya uchaguzi,nani alikuwa anamjua?
Hii idara mimi naona inafanya kazi kubwa ila shida ni kuwa hawawezi kuweka shughuli zao za kila siku hadharani.Lazima kuna mengi yamezimwa bila sisi kujua na tunaomba mbadala wa Nzoka awe anajitokeza na kufafanua baadhi ya mambo.

Hivyo!
 
Kwa mara yangu ya kwanza tokea niwepo humu JF nafurahi sana leo kuwajua Wanausalama wa Taifa ( TISS ) Wewe na huyo mwenzako mnayebishana hapo. Karibuni mno na sisi wana JF tunatambua sana uwepo wenu humu na ni imani yetu kuwa mengi tunayoaandika humu huwa mnayafikisha kwa Spymasters wenu ili yawasaidieni katika ulinzi, usalama na amani ta nchi yetu Mama Tanzania. Vipi Wakuu intake ya safari hii lini inaanza ili niwaombeni mnisaidie nami GENTAMYCINE nipate nafasi nikafunzwe vizuri Ujasusi?

Mmmaaaa!!!!!!
 
Unajua maana ya record keeping? Afisa yeyote wa Tiss lazima aandike after-action report(Debrief) baada ya operation

Hizo reports zinakuwa analysed na kuwa incorporated into training programs za junior officers.

Sasa tumia akili yako ufikirie TISS wana archive ya operations za miaka 50. Wanajua weakness na strength za different tactics

Wewe mpuuzi unaamka asubuhi unaaza kuandika kuwa TISS hawajui kitu.Wewe ndugu ni zero brain.Low IQ

Wakuu basi mtaumizana wakuu
 
Kwa mara yangu ya kwanza tokea niwepo humu JF nafurahi sana leo kuwajua Wanausalama wa Taifa ( TISS ) Wewe na huyo mwenzako mnayebishana hapo. Karibuni mno na sisi wana JF tunatambua sana uwepo wenu humu na ni imani yetu kuwa mengi tunayoaandika humu huwa mnayafikisha kwa Spymasters wenu ili yawasaidieni katika ulinzi, usalama na amani ta nchi yetu Mama Tanzania. Vipi Wakuu intake ya safari hii lini inaanza ili niwaombeni mnisaidie nami GENTAMYCINE nipate nafasi nikafunzwe vizuri Ujasusi?
Wenyewe hawawezi kucomment hivyo, wameshapigwa biti juu ya matumizi ya social network, kama yupo unayemjuwa leo ingia kwenye account yake ya Facebook kama utakuta hata picha yake moja.
 
Mie nadhani kuna haja ya wananchi wengi kuelimishwa juu ya hulka za wanasiasa na athari zinazowapata kwa kukiuka maagizo ya vyombo vya dola.

Ona kwa mfano, polisi wamesema kuwa maandamano hayana kibali cha polisi na kwa hali hiyo ni batili, mjinga mmoja anajitokeza na kuanza kuwashawishi wananchi waandamane. Polisi wakitumia nguvu kuwatawanya mtu huyo anaanza kutengeneza chuki eti polisi wametumia nguvu kupita kiasi. Au polisi wamezuia watu kukusanyika mahali fulani kwa sababu yoyote ile.

Pia polisi wameimarisha ulinzi katika eneo hilo na askari wapo hapo kwa zaidi ya masaa 6' hawali wala kunywa. Anajitokeza mjinga mmoja anaanza kuwahamasisha wananchi waingie kwa nguvu. Polisi wakitembeza mkong'otomtu huyo anaanza kulalamika matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi.

Mie nadhani polisi ifike hatua badala ya kuhangaika na wananchi, ishughulike na huyu mchochezi
mkuu umeongea jambo la maana San ngoja niongezeee nyama nyama apo polisi wameimalisha ulinzi katika mkutano wa mwanasiasa furani huyohuyo mwanasiasa alieimalishiwa ulinzi ili aongee na wananchi kwa aman anaanza kuwageukia polisi kuwa tukana kwamba mishahara yao hafifu,hawana lolote badala ya kuongea policy zake anaanza kuwatukana polisi je ao polisi wakianza kutembeza virungu unaaza kulalamika dah inauma mno yametukuta San aya kama yule mawazo kwa jinsi alivyo watukana polisi wakiwa wamemuwekea ulinzi ingawa ilifariki r.I.p
 
Aiseeeeh, naona kila mmoja anatoa ndoto zake.

Ila, UwT wako vizuri sana sana!
 
Wenyewe hawawezi kucomment hivyo, wameshapigwa biti juu ya matumizi ya social network, kama yupo unayemjuwa leo ingia kwenye account yake ya Facebook kama utakuta hata picha yake moja.

Kwahiyo Mkuu kumbe hawa watakuwa ni ' Masimbilizi ' tu wanaojifanya kuwa ni wana TISS wakati kumbe siyo? Vipi Mkuu na Wewe hauko huko ' manake ' una vimelea na viashiria vyote vya kama vile upo huko kwa wenye ' nchi '. Kuna Mtu huko ana jina kama la ID yako hii sijui ndiyo Wewe au ni majina tu!
 
Kwahiyo Mkuu kumbe hawa watakuwa ni ' Masimbilizi ' tu wanaojifanya kuwa ni wana TISS wakati kumbe siyo? Vipi Mkuu na Wewe hauko huko ' manake ' una vimelea na
viashiria vyote vya kama vile upo huko kwa wenye ' nchi '. Kuna Mtu huko ana jina kama la ID yako hii sijui ndiyo Wewe au ni majina tu!


Mkuu kazi hizo sizo kabisa yaani unaisha magutumagutu tu kama jamaa yangu fulani mpaka inaboa ukimuuliza nini shida anajibu eti nitaumbuliwa sijui ndio nini hilo neno aaah ,afadhali kazi zetu za uvuvi sisi hatuna stress za kutaka kujua mambo mengi
 
Mkuu afadhali kazi ya ukwezi na uvuvi sisi hatuna stress za kutaka kujua mambo mengi

Kweli Mkuu sisi tuendelee tu na Uvuvi, Ufugaji na Ukulima kwani ndizo Kazi zetu ambazo tunaziweza na hizo za sijui akina TISS tuwaachie akina Matola na wenzake wengi waliopo humu JF. Ngoja nitoke zangu nje sasa nikawarudishe Ng'ombe wangu ' zizini ' kwani naona giza limeingia.
 
Kweli Mkuu sisi tuendelee tu na Uvuvi, Ufugaji na Ukulima kwani ndizo Kazi zetu ambazo tunaziweza na hizo za sijui akina TISS tuwaachie akina Matola na wenzake wengi waliopo humu JF. Ngoja nitoke zangu nje sasa nikawarudishe Ng'ombe wangu ' zizini ' kwani

naona giza limeingia.

Sawa mkuu hatuna stress, sema kile kipindi cha migogoro kati yetu na wakulima kikiwadia aah tunaishi kwa taabu sana,
kipindi hicho kikifika mimi ndio napata shida ngo'mbe wangu sijui watakula wapi tuombe mungu serikali iweke mpango wa matumizi bora ya ardhi, wakati mwingine ukichimba bwawa kwaajili ya kufuga samaki na kunywesha mifugo kesho unakuta wakulima wananyweshea mbogamboga zao ukiuliza daah unaweza kupigwa fyekeo la kidevu
 
Back
Top Bottom