Idara za TAMISEMI, Mahakama, Ardhi, Elimu na Afya zaongoza kulalamikiwa Mara

Idara za TAMISEMI, Mahakama, Ardhi, Elimu na Afya zaongoza kulalamikiwa Mara

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
TAKUKURU Mkoa wa Mara imepokea Malalamiko 139 ndani ya miezi mitatu (Januari - Machi 2022), na Idara zilizolalamikiwa zaidi ni pamoja na TAMISEMI (58), Mahakama (15), Elimu (14), Ardhi (13) na Afya (12)

Katika Malalamiko hayo, 106 yalihusu Vitendo vya Rushwa na mengine 33 hayakuhusiana na Rushwa

Kwa Wakazi wa Mara, ni kinapelekea Malalamiko kuwa mengi katika Idara zilizotajwa? Ni kero zipi zinawasumbua zaidi Wananchi?

1654156295490.png
 

Attachments

Takukuru wenyewe Wala rushwa pia wajiweke hapo no 2
 
TAMISEMI ina watu wengi na ndio maana hata malalamiko ni mengi sana.
 
Hakuna Wala Rushwa nchi hii kuzidi TAKUKURU
 
Back
Top Bottom