Wakuzuia ni UNO. Wao kazi yao kuangamiza adui na anaangamia kweli.
Ijumaa mubarak
..Tanzania ikivamiwa na wanawake na watoto wakianza kuuwawa mwenye jukumu la kuwatetea atakuwa ni Jwtz.
..Hamas ndio "jwtz" ya Wapalestina hivyo ulinzi wa wanawake na watoto wakati wa vita ni la kwao.