Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Tangazo la IDF litakuwa rahisi tu, "Iran will no longer be able to sponsor terrorism for the next 200 years"
Israel atahack mifumo ya ulinzi wa anga wa Iran na kuitumia kulipua maeneo mbalimbali ndani ya Iran.
Wakati huohuo ndege vita zitashambulia vyanzo vya maji na umeme ikiwemo vile vya nyuklia.
Viwanda vya silaha pamoja na maghala yote yataangamizwa. Hawa viongozi waliopo hawatakuwepo tena.
Hapatakuwa tena na kitisho kutoka Tehran.
Israel atahack mifumo ya ulinzi wa anga wa Iran na kuitumia kulipua maeneo mbalimbali ndani ya Iran.
Wakati huohuo ndege vita zitashambulia vyanzo vya maji na umeme ikiwemo vile vya nyuklia.
Viwanda vya silaha pamoja na maghala yote yataangamizwa. Hawa viongozi waliopo hawatakuwepo tena.
Hapatakuwa tena na kitisho kutoka Tehran.